society of jesus
Member
- Nov 18, 2018
- 29
- 61
Gadafi alichukuwa na wafica wakristo sana. Lengo lake la misaada kwa nchi za africa lilikuwa na lengo la kuwasilimisha tu.
Ndo mana alimsaidia muslamu mwenzake idd amini dada ili kuisambatatisha tanzania ili tanzania iwe islamic empire baadae.
Mwl nyerere mpaka anakufa alikuwa hataki kumsikia gadafi.
Pili alikuwa anachinja wale wote wanaomkosoa unaitwa ikulu unapigwa risasi ndugu zako wasipokuona wiki nzima wanajua tayari umeshapigwa risasi.
Ndiyo alkuwa anawajali watu wake kwa kuwatolea mahari nk lakini alikuwa anaua kama nzige.
Ndo mana alimsaidia muslamu mwenzake idd amini dada ili kuisambatatisha tanzania ili tanzania iwe islamic empire baadae.
Mwl nyerere mpaka anakufa alikuwa hataki kumsikia gadafi.
Pili alikuwa anachinja wale wote wanaomkosoa unaitwa ikulu unapigwa risasi ndugu zako wasipokuona wiki nzima wanajua tayari umeshapigwa risasi.
Ndiyo alkuwa anawajali watu wake kwa kuwatolea mahari nk lakini alikuwa anaua kama nzige.