Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,486
Ukiangalia maendeleo ya watu wa Libya, naeza kusema kwa kinywa kipana kwamba Kanali Muammar al Quddhaffi is a better leader than the rest of our misukule combined. Kama alivosema Koba hapo juu, he is just not likable na West na hiyo ndio turufu ya kumpaka matope maana kwenye angles za rasilimali (mafuta) amewabana mbavu. The same kwa Ahmadinejad. Siezi sema nakubaliana na kila wanachokifanya, lakini I personally commend their leadership because they understand the most basic or rather first principles za uchumi, kama hulindi na kuzitumia rasilimali zako u can fvck urself and forget about maendeleo. sie huku kazi kushabikia Slaa sijui uchaguzi na kusahau we don't need leaders wenye kutubeba mbelekoni, TUNATAKA MAENDELEO!!
Qadhdhafi anatambia petrodollars tu, hana kingine chochote cha kutufundisha zaidi ya theatrics. Angekuwa kiongozi asingejiuzulu na ku rescind kujiuzulu kwake bwana.
Waulize Wamisri wanamjua jirani yao Qadhdhafi na vituko alivyowafanyia tangu enzi za Sadat na Nasser.