Karume yupi huyo?Nakubaliana na wewe kwa 100% mkubwa....
Kama Karume nasikia alisukumwa alipokuwa akivua Viatu aingie Msikitini hii ni dharau gani jamani?
Aliyekwenda Uganda si Shein ni Karume wa Zanzibar!
Yeye kama kweli anajua dini ya kiislam kwa nini anatembea na wanawake wakiexpose nywele zao nje?
Jee dini ya kiislam inaruhusu waisilam wanawake kuwa wanajeshi? Is that double standard au?
Please guyz don't pay atantion to that looser dictator. This OIL leaders use their resources to terrorise other people mind and other people economy. Shame and shame on him
..............huyu ghadafi ana matatizo ya akili....na siku akija tanzania lazima tumlishe nguruwe...ndio maana anakula wale mabinti anaojidai ni wapambe wake....
...haeleweki ..kwanza wakati museveni anapigana huyu ndie aliyekuwa anamuunga mkono amin ili uganda iwe nchi ya kiislamu...leo anamkumbatia museveni ..sijui anataka nini....nadhani museveni naye anafaidika!!!
Nakusupport Lunyungu. Mbona sisikii,waislamu wakichangia hili?
hata na nyinyi mnayo haki ya kuandamana....
Nakusupport Lunyungu. Mbona sisikii,waislamu wakichangia hili?
hata na nyinyi mnayo haki ya kuandamana....
Nungwi
Sisi tunatumia akili sana na hoja tunaikabili kwa hoja .Huwezi kusikia mkristo anakurupuka kuandamana kisa Biblia imekashifiwa no .Watu tuna uelewa na ndiyo maana tunajadili hapa bila dhahma . Wakristo hawana historia ya kuua kwa ajili ya dini japokuwa ilitokea wakati fulani wa Roman empire lakini wakajifunza kwamba wafia dini kama akina Kalori Lwanga, na Kizito na wenzake wa Uganfa waliuawa kwa kumtii Mungu na si kuua watu kwa ajili ya dini.Mtakatifu Padre Valentine ambaye siku hizi mmegeuza siku ya ngono ya Feb 14 alikufa kwa imani yake ya upendo na kuendelea kuwafungisha watu ndoa na kupenda maisha si kuua kisa dini .Ukiwa na akili ndogo na fedhuli lazima utaogopa ukweli nahoja ikitolewa ikakushinda na frustrations zako utaanza kuua kwa jina la dini ama kitabu chako unacho kiamini .
Lunyungu
kwa hiyo unataka kuniambia kwamba sisi waislamu hatutumii akili????
Nakusupport Lunyungu. Mbona sisikii,waislamu wakichangia hili?
hata na nyinyi mnayo haki ya kuandamana....
[B said:Ras-nungwi[B said:;160517]Lunyungu
kwa hiyo unataka kuniambia kwamba sisi waislamu hatutumii akili????
Umeishakasirika?