G55 kufanya press conference leo

G55 kufanya press conference leo

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,679
Reaction score
9,839
20250406_092755.jpg


Usikose kutegea sikio press conference ya G55.

Itafanyika leo saa 5 asubuhi.

Demokrasia kwenye chama lazima ilindwe kwa nguvu zote.
 
Tu nataka demokrasia ndani ya chama chetu, tulipambana na udikteta wa Magufuli, tuko tayari kupambana na udikteta wa Lissu
 
Eti Chadema G-55, ibara ya ngapi ya katiba ya chadema inawatambua;
Unajua mtu anaejinyonga kwa kamba huwa lazima atoe haja kubwa, sasa hao wanaojiita G 55 tayali wamekwisha jijambia wanasubili kinyesi.
Kama mmetumwa kitawalamba na watumaji wataendelea kula bata.
 
Eti Chadema G-55, ibara ya ngapi ya katiba ya chadema inawatambua;
Unajua mtu anaejinyonga kwa kamba huwa lazima atoe haja kubwa, sasa hao wanaojiita G 55 tayali wamekwisha jijambia wanasubili kinyesi.
Kama mmetumwa kitawalamba na watumaji wataendelea kula bata.
Ni wanachama wa chadema?
 
Chadema ni chama cha demokrasia, demokrasia itashinda.
Hao wanaojiita g55 watashangaa, think twice the number of , Central Committee members, Central Council members and the General meeting members walipitisha agenda hiyo na wapo, what is 55 kwa vikao hivyo vitau vya kikatiba. Kwa chadema hii, wanapoteza muda.
 
Back
Top Bottom