Habari wana JF,ndugu yenu kesho nimeitwa G4s for an Interview,Hii company sijuhi chochote kuhusu wanavyofanya recruitment zao,Naombeni msaada wenu ndugu zangu.Ajira ni ngumu tupeane maujanja
Niliomba any post available,either Assistant Auditor,Accountant/Finance coz nimesoma Baf,so today ndio wameninyanyulia waya,sijuhi kama hawa jamaa wakoje,office zao hata sijuhi ziko wapi?
Usiwe na wasiwasi Ndugu, Hiyo kampuni inajihusisha na maswala ya ulinzi, mobile money security . Cha msingi tulia, jiandae na mbinu za kawaida za usaili, usipanie sana, itambue vizuri hiyo kampuni, na ikiwezekana fahamu structure yake-fanya utafiti juu ya G4S.
Office zpo moroco karbu na erolink ya zaman ya pale moroco kma unarud mwenge unaingia na barabara ya lile kanisa pale unanyoosha thn road ya kwnza inaingia kushoto fwta hyo road utaona tu office zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.