G-55 Hawana hoja zaidi ya udalali

G-55 Hawana hoja zaidi ya udalali

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,293
Reaction score
13,958
Tatizo la G-55 ni uchumi wao sio kutukanwa wala kunyanyashwa. Mbona hayo matusi hatujayaona ??. No reform no election
  • Wake wa viongozi wawili ni Covid 19. Tujiulize tu je nani ali sign kwa niaba ya Mnyika kuweka wake zao bungeni?
  • Walikuwa wanaibia na kufanya ubabe wa kuwaweka wawapendao kwenye changuzi 2024
  • Sasa ni reform no election wanajiuliza watakula wapi maana wake zao sasa watapata ubunge wapi? wenyewe nao sasa hawana mishahara.
  • Wanasema hawajui wanaenda wapi kwasababu wanasubiri kuhakikishiwa mambo fulani ili wapate pesa!
 
Back
Top Bottom