FyokoFyoko za *Magufuli#

Micheweni Pemba

JF-Expert Member
Jul 13, 2010
351
179
Tumekulewa Amiri jeshi Mkuu Makufuli,tumeelewa kwa nn Urais umetunikiwa ww.kama kuokota embe kwenye mbuyu,Ila historia itakukuhukumu.

Kwamba sisi wananchi tulio wengi wa Zanzibar tunamwambia kua ukimya wetu sio udhaifu wetu ukaono tuko kimya ndio ukaleta chokochoko zako zakutuchokoza na kutaka kututawala kimabavu kwa nguvu za kijeshi ?

Kwamba Wazanzibar kwa umoja wetu ambao tulionyesha katika uchaguzi mkuu wa oct 25 tunao uwezo huo huo wakuweza kuingia barabarani na kudai haki yetu ilio porwa na chama chako ,uwezo huo upo na ubabe wako na makeke yako basi waulize hao walio kutangulia kuwa wazanzibar ni watu gani ?

Kwamba takapoamua kuingia barabarani usijidanganye kua utaua na kuweza kutusweka magerezani kama kweli mbabe wewe na Jeuri basi usingali ikimbiaa ikuluu na haliyakua uko mchini , ukepata kuwakaribisha wageni wako nyumbani kwako sio kuwakimbia huo ni uzaifu wa kuongopa hoja eti kwakuogopa maswala ya kulizwa kuhusu Zanzibar.

Kwamba Swala la Zanzibar litakuganda kama Kupe na Ngombe na vitisho vyako havito tusababisha ku giveup katu, Ni wazanzibar tutapigania haki yatu kwa njia yoyote ile Zanzibar ni nchi yetu na vitovu vya bibi na babu zetu vimezikwa hapa na hapa ndipo kwetu hatuna kwengine kwakenda huo ubaguzi wenu wa uarabu,uhindi na uhatimu kuona kuwa wazanzibar mutawagawa kwa misingi hio basi mumesherewa .

Kama ni kutugawa kwa visingizio vya Ukabila ? basi jiangalieni huko Bara muna makabila mangapi ndani ya Tanganyika? sisi sote hapa ni Wazanzibar no matter rangi lakini Zanzibar ni ya wazanzibar wenyewe .

M/mungu ibariki Zanzibar na watu wake.
 
Tumekulewa Amiri jeshi Mkuu Makufuli,tumeelewa kwa nn Urais umetunikiwa ww.kama kuokota embe kwenye mbuyu,Ila historia itakukuhukumu.

Kwamba sisi wananchi tulio wengi wa Zanzibar tunamwambia kua ukimya wetu sio udhaifu wetu ukaono tuko kimya ndio ukaleta chokochoko zako zakutuchokoza na kutaka kututawala kimabavu kwa nguvu za kijeshi ?

Kwamba Wazanzibar kwa umoja wetu ambao tulionyesha katika uchaguzi mkuu wa oct 25 tunao uwezo huo huo wakuweza kuingia barabarani na kudai haki yetu ilio porwa na chama chako ,uwezo huo upo na ubabe wako na makeke yako basi waulize hao walio kutangulia kuwa wazanzibar ni watu gani ?

Kwamba takapoamua kuingia barabarani usijidanganye kua utaua na kuweza kutusweka magerezani kama kweli mbabe wewe na Jeuri basi usingali ikimbiaa ikuluu na haliyakua uko mchini , ukepata kuwakaribisha wageni wako nyumbani kwako sio kuwakimbia huo ni uzaifu wa kuongopa hoja eti kwakuogopa maswala ya kulizwa kuhusu Zanzibar.

Kwamba Swala la Zanzibar litakuganda kama Kupe na Ngombe na vitisho vyako havito tusababisha ku giveup katu, Ni wazanzibar tutapigania haki yatu kwa njia yoyote ile Zanzibar ni nchi yetu na vitovu vya bibi na babu zetu vimezikwa hapa na hapa ndipo kwetu hatuna kwengine kwakenda huo ubaguzi wenu wa uarabu,uhindi na uhatimu kuona kuwa wazanzibar mutawagawa kwa misingi hio basi mumesherewa .

Kama ni kutugawa kwa visingizio vya Ukabila ? basi jiangalieni huko Bara muna makabila mangapi ndani ya Tanganyika? sisi sote hapa ni Wazanzibar no matter rangi lakini Zanzibar ni ya wazanzibar wenyewe .

M/mungu ibariki Zanzibar na watu wake.

"Ukweli ni kuwa waleta fyokofyoko no wachache sana hao wanadhibitika" by JPJM
 
Hulka za Wazanzibar ni Tofauti sana na Wabara, Wazanzibar siyo waoga hata kidogo, Wenye mamlaka wasipotatua huu mgogoro nina wasiwasi kuna watu watafikishwa the Hague , wawe makini sana

Kinachosikitisha ni kwamba, kwa wao kuipenda zaidi CCM ili iendelee kutawala kwa dhulma za waziwazi kabisa lakini kwa kufanya hivyo wanaidhoofisha Tanzania, Wazanzibar watauchukia muungano kwa sababu wanaona kama ndiyo mlinzi wa dhulma juu ya maamuzi yao ya kidemokrasia.

Hivi Raisi Magufuli kwa kukaa kimya juu ya Hali ya Zanzibar anatuma meseji gani kwa raia wa Zanzibar, Je anataka kuwaambia kuwa yeye siyo raisi wao?, kwamba siyo mtetezi wao?, Vipi watamuelewaje?.

Huu uamuzi watawala wanaochukua una delegitimize Tanzania mbele ya macho ya Wazanzibari, kwa sababu kama raisi wa nchi hawezi kuwa na ushawishi wa kutaka haki itendeke je Wazanzibari watajivunia kuwa wana Raisi?

Ni bad precedent wanayoiweka kusema kweli, ni mbegu mbaya ambayo kwa bahati mbaya tunaipanda, lakini matunda yake ya sumu watachuma wajukuu wa Kizanzibari , It is very sad indeed
 
Tumekulewa Amiri jeshi Mkuu Makufuli,tumeelewa kwa nn Urais umetunikiwa ww.kama kuokota embe kwenye mbuyu,Ila historia itakukuhukumu.

Kwamba sisi wananchi tulio wengi wa Zanzibar tunamwambia kua ukimya wetu sio udhaifu wetu ukaono tuko kimya ndio ukaleta chokochoko zako zakutuchokoza na kutaka kututawala kimabavu kwa nguvu za kijeshi ?

Kwamba Wazanzibar kwa umoja wetu ambao tulionyesha katika uchaguzi mkuu wa oct 25 tunao uwezo huo huo wakuweza kuingia barabarani na kudai haki yetu ilio porwa na chama chako ,uwezo huo upo na ubabe wako na makeke yako basi waulize hao walio kutangulia kuwa wazanzibar ni watu gani ?

Kwamba takapoamua kuingia barabarani usijidanganye kua utaua na kuweza kutusweka magerezani kama kweli mbabe wewe na Jeuri basi usingali ikimbiaa ikuluu na haliyakua uko mchini , ukepata kuwakaribisha wageni wako nyumbani kwako sio kuwakimbia huo ni uzaifu wa kuongopa hoja eti kwakuogopa maswala ya kulizwa kuhusu Zanzibar.

Kwamba Swala la Zanzibar litakuganda kama Kupe na Ngombe na vitisho vyako havito tusababisha ku giveup katu, Ni wazanzibar tutapigania haki yatu kwa njia yoyote ile Zanzibar ni nchi yetu na vitovu vya bibi na babu zetu vimezikwa hapa na hapa ndipo kwetu hatuna kwengine kwakenda huo ubaguzi wenu wa uarabu,uhindi na uhatimu kuona kuwa wazanzibar mutawagawa kwa misingi hio basi mumesherewa .

Kama ni kutugawa kwa visingizio vya Ukabila ? basi jiangalieni huko Bara muna makabila mangapi ndani ya Tanganyika? sisi sote hapa ni Wazanzibar no matter rangi lakini Zanzibar ni ya wazanzibar wenyewe .

M/mungu ibariki Zanzibar na watu wake.
Wewe Acha kudanganya watu, kwa hisia zako za uongo
 
Wazanzibar wamewahi kupata exposure na kujitambua kabla yetu.
Hicho ndio chanzo cha ujasiri wao. Huku hata usikie BOT imeuzwa. Tutaishia kulalamikia nyuma ya keyboard.
Lkn ni jukumu LA rais kuhakikisha usalama Wa taifa zima japo hakuzungumza chochote kuhusu mazombi
 
Back
Top Bottom