falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Wakuu,
Ni dhahiri kabisa future ya CCM ndio imefika ukingoni baada ya Lowassa kung'oka CCM, pia kama tunavyojua kundi la wafuasi wake kumfuata.
Hapa tujikumbushe nyuma kidogo, baada ya Lowassa kukatwa jina ndio makundi makubwa ya wanachama wa CCM walipopinga kukatwa kwake huku wakiimba nyimbo mbalimbali za kumnadi Lowassa.
Sasa Lowassa amehama CCM na washirika wake ambao ndio wengi zaidi kuliko mwanaCCM yeyote kuamua kumfuata UKAWA.
Je, CCM itaweza kuendelea bila kundi hili kubwa kabisa kuwepo? Je, watakaobaki CCM watakuwa na mvuto katika jamii?
My take:
UKAWA isije kugeuka up coming CCM baada ya wanaCCM wengi kuomba kujiunga UKAWA.
Ni dhahiri kabisa future ya CCM ndio imefika ukingoni baada ya Lowassa kung'oka CCM, pia kama tunavyojua kundi la wafuasi wake kumfuata.
Hapa tujikumbushe nyuma kidogo, baada ya Lowassa kukatwa jina ndio makundi makubwa ya wanachama wa CCM walipopinga kukatwa kwake huku wakiimba nyimbo mbalimbali za kumnadi Lowassa.
Sasa Lowassa amehama CCM na washirika wake ambao ndio wengi zaidi kuliko mwanaCCM yeyote kuamua kumfuata UKAWA.
Je, CCM itaweza kuendelea bila kundi hili kubwa kabisa kuwepo? Je, watakaobaki CCM watakuwa na mvuto katika jamii?
My take:
UKAWA isije kugeuka up coming CCM baada ya wanaCCM wengi kuomba kujiunga UKAWA.