Habar Mr.rahman1.umesema mna lesen 20 'embu jazia nyama hapa.'PILI unasema tan 1 mnapata gram 6,je?sample ya hapo inasoma ppm ngapi? Kwa jiwe na ukisha lichakata jiwe powder yake 'rudio'linasoma ngapi?Tuna leseni 20 Sawa Na hecta 200 mbigwa Mwamba unasoma gram 6 kwa tone
Mkuu umenikumbusha mbali sana hapo mkwajuni kuna wana walikuwa wakutoka Shanta Gold Mining wakitua hapo ilikuwa ni noma sanaHabari?
Embu jazia nyama?.pili jibu maswali yafuatayo.(a)maeneo hayo yapo chunya kubwa, chunya, matundas, itumbi, makongolosi, mkwajuni, bomba 2, saza, iseche, maleza, mbangala, pantamela kifupi nikubwa hapo nikwa uchache wapi?(b)tupe codes za eneo lenu kama PML/PL?(c)type sample ya juu inasoma ngapi? Ppm? Tuanzie hapo. MPE hi mchafu
Hyo ppm 6 ni kwaludio au jiwe mzeeKaribuni watu yeyote anaetaka kuchimba au kuwekeza katika mbachimbo ya Madini ya dhahabu Chunya tuna maeneo makubwa yaliyo fanyiwa utafiti Na wizara ya Madini kwa ajili ya machimbo ya dhahabu mawasiliano 0769946256
OK,siku hizi hali mbali hawana mambo ya tvt siku hiziMkuu umenikumbusha mbali sana hapo mkwajuni kuna wana walikuwa wakutoka Shanta Gold Mining wakitua hapo ilikuwa ni noma sana
Mambo ya madini hayajifichi...wachimbaji wangekuwa wanamiminika huko...Nilikuwa nina maanisha jiwe kama jiwe sample yake PILI mlisha saga mkapeleka kuchenjua labda kama ni ndiyo je?mlipo chukuwa sample ya ludio ili mpeleke plant kuchenjua ilikuwaje?
Acha kudanganya maeneo yote yameshatwaliwa na watu na wanaleseni na kwa taarifa yako GST walifanya utafutaji Madini kwenye leseni za watuKaribuni watu yeyote anaetaka kuchimba au kuwekeza katika mbachimbo ya Madini ya dhahabu Chunya tuna maeneo makubwa yaliyo fanyiwa utafiti Na wizara ya Madini kwa ajili ya machimbo ya dhahabu mawasiliano 0769946256
Haya wale wa kupanda bajaji kutoka mkwajuni hadi saza tujuane, na wale tulioanzia safari mbalizi kwenda mkwajuni Mbepo mabasi bado yapo? Wale tuliopata hasara ya unga na dagaa kwa kuwalisha wana na bado mambo hayakusoma tukaondoka tufahamiane
Hahahaha kumbe tupo wengi nauli 40 kama unaenda mwanzaWale tuliorukaruka Mbinga kwenda Dar pori ndani ya landrover unapiga pozi matata tufahamiane kwanza ndio tuelekee kuozesha hayo marundo huko