financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,132
- 40,695
Hongera sana Kwa biashara mkuu, na vinaonekana viko poa sana ngoja nitafute wateja.
Karibu sana mkuu tuimarishe uchumi wa familia na taifa..Hongera sana Kwa biashara mkuu, na vinaonekana viko poa sana ngoja nitafute wateja.
Natuma vizuri kabisa mkuu , popote ulipo unatumiwa mzigo wako hata msumbiji, zambia natuma.Mikoani unaweza tuma?
OK karibu sanaNtakuchek
Tatizo lipo wapi sasa mbona watu mmekua wajuaji hivi.. pumbavu kabisa!
Mijitu kama hii ni kula kulala anajua tu bei ya chipsi mayai.ipotezee kk piga kaziTandika sokoni wanauza jumla 7000 tena vynye shanga wapo mitaa ya karibu na kwa wahaya
Tatizo lipo wapi sasa mbona watu mmekua wajuaji hivi.. pumbavu kabisa!
Tandika sokoni wanauza jumla 7000 tena vynye shanga wapo mitaa ya karibu na kwa wahaya
samahani bro ila hiyo quality ni ndogo sana kwa mwonekano labda kama umetengenezea kw kutumia ngozi sio plasticBei inaendana na ubora , hivyo ni vYa kike tens ubora wake ni mdogo , Mimi Kazi zangu ni quality angalia sample zangu hapo juu halafu linganisha na ulizoona tandika bei inategemea na quality, hats ukinipa oda kwa 7000 nakutengenezea ila vitakuwa tofauti na vYa 8500 upo hapo.
hiyo sio bei ya pair moja ni kuanzia pair 10 ni bei y jumlaKuna ujinga mmoja hivi MTU akijitokeza na biashara yake unakuta jitu linakurupuka hata linapotoka halijurikani kutaka kuleta ubishano wa kishamba,vitu vingine ukisoma unapita tuu sio mpka uchangie upuuuzi.
Hivi ukae ilala upande gari mpka tandika kwa pair moja ya 7000????
Biashara na hasira wapi na wapi bro kwenye biashara kuna changamoto nyingiTatizo lipo wapi sasa mbona watu mmekua wajuaji hivi.. pumbavu kabisa!
mwache maisha magumu sana mwache apunguze stress na unaweza kuta yy hata vinapotengenezewa hapajui ni dalali tuBiashara na hasira wapi na wapi bro kwenye biashara kuna changamoto nyingi
Jibu kistarabu tu unaweza
Toa sifa ya bizaa yako kwa nini inauzwa hivyo tofauti na hao lakini ukitukana inashusha heshima ya biashara yako
Asante mkuu, Mimi natengeneza design YOYOTE unayoitaka wewe, kwanza nakutolea sample moja ya design unayotaka unaicheki then ndo tunafyatua mzigo mkubwa.Hongera Chief, hayo ndo mambo ya kufanya sisi vijana je hapo juu unaweza kuweka manyoyanyoya sijui huwaga ya mbuzi au?naomba no pm nina kazi na wewe.
Wewe kama sio shoga ni Malaya Wa kiume tena shetani Wa jicho moja.Tandika sokoni wanauza jumla 7000 tena vynye shanga wapo mitaa ya karibu na kwa wahaya
Ndugu kupitia huu uzi nimeshapata wateja mpaka sasa wamefika 13 na oda imefika pc 83 sasa wewe endelea kupoteza muda wako kukomenti yaani wateja wanaongezeka huu Uzi nimeweka Jana usiku tu , siwezi kubishana na wewe maana sio fundi hujui kitu kabisasamahani bro ila hiyo quality ni ndogo sana kwa mwonekano labda kama umetengenezea kw kutumia ngozi sio plastic
Pamoja sana mkuu.Mij
Mijitu kama hii ni kula kulala anajua tu bei ya chipsi mayai.ipotezee kk piga kazi
Hayo manyoya ya mbuzi boss nazungushia kwenye kiatu inapendeza sana jumatatu nitatengeneza halafu nitaweka picha ya hiko kiatu .Hongera Chief, hayo ndo mambo ya kufanya sisi vijana je hapo juu unaweza kuweka manyoyanyoya sijui huwaga ya mbuzi au?naomba no pm nina kazi na wewe.