mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 207
- 482
Kuna dhana kwamba sekta ya elimu ni sekta isiyo na pesa. Kuweka maisha yako kwenye elimu ni kutafuta umaskini, walimu na wadau wa elimu ni wanyonge na watu wanaodhaurika na wanapuuzwa sababu wanaonekana ni watu wenye kipato duni.
Mimi ni mwalimu professionally na nimefundisha kwa muda mrefu baadae nikaamia kwenye miradi ya elimu yenye ufadhili wa wageni. Kwa uzoefu wangu kuna kitu nimejifunza.
Nataka tujadili kidogo kwa nini walimu hatutengenezi pesa kupitia elimu.
Ni kweli kwenye sekta ya elimu hakuna fursa mpya zaidi ya kushika chaki?
Ukiangalia mashule mengi yanaanzishwa na watu baki. Why sio walimu?
Innovation kubwa kwenye elimu zinafanywa na watu baki. Why sio walimu? Shule direct, Mtabe, Ubongo kids hazijaanzishwa na walimu.
Ingia sasa kwenye miradi ya elimu asili mia kubwa inasimamiwa na watu wengine kabisa. Walimu hawaonekani wao wapo mashuleni wanashika chaki.
Kina Nyambari walijaribu wakapiga hela lakini nao wamepotea siku hizi.
Mwalimu akitaka kuinvest basi ataanzisha twisheni center, atengeneze kitini au ataacha ualimu akafungue genge.
Kwa nini watu hatuwekezi uwekezaji mkubwa kwenye elimu au hakuna fursa?
Sekta ya elimu haiwezi tengeneza watu wenye pesa nyingi?
Mimi ni mwalimu professionally na nimefundisha kwa muda mrefu baadae nikaamia kwenye miradi ya elimu yenye ufadhili wa wageni. Kwa uzoefu wangu kuna kitu nimejifunza.
Nataka tujadili kidogo kwa nini walimu hatutengenezi pesa kupitia elimu.
Ni kweli kwenye sekta ya elimu hakuna fursa mpya zaidi ya kushika chaki?
Ukiangalia mashule mengi yanaanzishwa na watu baki. Why sio walimu?
Innovation kubwa kwenye elimu zinafanywa na watu baki. Why sio walimu? Shule direct, Mtabe, Ubongo kids hazijaanzishwa na walimu.
Ingia sasa kwenye miradi ya elimu asili mia kubwa inasimamiwa na watu wengine kabisa. Walimu hawaonekani wao wapo mashuleni wanashika chaki.
Kina Nyambari walijaribu wakapiga hela lakini nao wamepotea siku hizi.
Mwalimu akitaka kuinvest basi ataanzisha twisheni center, atengeneze kitini au ataacha ualimu akafungue genge.
Kwa nini watu hatuwekezi uwekezaji mkubwa kwenye elimu au hakuna fursa?
Sekta ya elimu haiwezi tengeneza watu wenye pesa nyingi?