Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,073
- 1,576
Habarini wajasiriamali.
Niende Kwenye mada Kabisa.
Mimi ni mwalimu kijana Mdogo,
Na ni Mchanga Katika kazi ambaye sijatimiza Hata mwaka Mmoja kazini hapa Bagamoyo.
Pamoja na majukumu na changamoto za maisha,
Nimejaribu kusave karibia 2Mil. Hivi ambayo nataka niivest Kwenye Biashara.
Ila bado sijaplani ni Biashara gani kutokana na kutokuwa na uzoefu wa kutosha wa Mazingira.
Hivyo naomba nipate mawazo yenu wakuu Kabla Shida kubwakubwa hazijapiga hodi.
Nawasilisha.
Niende Kwenye mada Kabisa.
Mimi ni mwalimu kijana Mdogo,
Na ni Mchanga Katika kazi ambaye sijatimiza Hata mwaka Mmoja kazini hapa Bagamoyo.
Pamoja na majukumu na changamoto za maisha,
Nimejaribu kusave karibia 2Mil. Hivi ambayo nataka niivest Kwenye Biashara.
Ila bado sijaplani ni Biashara gani kutokana na kutokuwa na uzoefu wa kutosha wa Mazingira.
Hivyo naomba nipate mawazo yenu wakuu Kabla Shida kubwakubwa hazijapiga hodi.
Nawasilisha.