Fursa kubwa kwa watanzania

Fursa kubwa kwa watanzania

msakijr

Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
45
Reaction score
7
FURSA KUBWA KWA WATANZANIA!! AIM GLOBAL...
Je ungependa kuwa na kipato cha ziada? Je unatafuta ajira ya kufanya kwa mda wako wa ziada au ya kudumu ? Tunatafuta watu wanaoweza kujituma wenyewe na wanaoweza kufanya kazi kwa umoja.

Tuna ofisi zetu sehemu mbali mbali kama Uganda,Kenya,Tanzania,Nigeria,Ghana, Rwanda,Afrika Kusini na Zambia.

Unaweza kutupata maeneo yote ya Tanzania na Afrika kwa ujumla na tunaweza kukuunganisha na ofisi yetu iliyo karibu na wewe.

Kama upo tayari kufanya biashara na unataka kujua zaidi kuhusu fursa hii nicheki kwenye
+255 712 940 446.
KWA WATU MAKINI TU !!!
Thanks.
 
janjajanja business nyingi hawatoi maelezo wanataka uende pm wakupige.
 
Haya mambo ya kuuza majani ya chai yenye ladha ya ndim hatutaki. Kama ni fursa weka hapa. Yanini ufatwe pm? Pyramid scheme tu hakuna fursa hapa.
hakuna mtu anauza majani ya chai ndugu...
 
Biashara ya Makanikia imeshtukiwa!
WEKENI WAZI VIWANGO HALISI VYA DHAHABU, FEDHA, SHABA N.K
 
Watu wa Clouds FM wamekuja na mbinu mpya ya kuwahusisha watz kuwa mawakala wao wa kuuza sembe mikoani, naona wasaniii wameshahamka na kuwakatalia.
 
Biashara kama hizi za kificho zimetawaliwa na utapeli mtupu, ukijiunga mwisho wa siku unaliwa wewe tu!!!
 
Back
Top Bottom