Akilitime JF-Expert Member Dec 27, 2017 581 757 Dec 25, 2019 #1 Wakuu wa maeneo ya Same msaada tafadhari. Naomba kujua Kama Kuna maeneo wilaya ya Same kilimo Cha mpunga kinaweza sitawi. Pia naombeni kujua fursa nyingine zilizo wilaya ya same na hasahasa maeneo husika
Wakuu wa maeneo ya Same msaada tafadhari. Naomba kujua Kama Kuna maeneo wilaya ya Same kilimo Cha mpunga kinaweza sitawi. Pia naombeni kujua fursa nyingine zilizo wilaya ya same na hasahasa maeneo husika
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Jun 29, 2019 8,466 14,882 Dec 25, 2019 #2 Mkuu hili jukwaa ni la MMU huku ukiuliza kilimo cha papuchi utapewa msaada kwelikweli Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili jukwaa ni la MMU huku ukiuliza kilimo cha papuchi utapewa msaada kwelikweli Sent using Jamii Forums mobile app
bigmind JF-Expert Member Oct 28, 2015 12,457 12,668 Dec 25, 2019 #3 MLEVi Mmoja said: Mkuu hili jukwaa ni la MMU huku ukiuliza kilimo cha papuchi utapewa msaada kwelikweli Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Pata safari @mr.MLEVIMmoja bill kwangu Sent using Jamii Forums mobile app
MLEVi Mmoja said: Mkuu hili jukwaa ni la MMU huku ukiuliza kilimo cha papuchi utapewa msaada kwelikweli Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Pata safari @mr.MLEVIMmoja bill kwangu Sent using Jamii Forums mobile app
Mbekenga JF-Expert Member Jun 14, 2010 3,262 8,097 Dec 25, 2019 #5 Kuna miundombinu ya kilimo cha mpunga huko juu Ndungu na bonde la Ruvu nferejini. Ila jiandae wanatumia nguvu za jadi, mila na desturi.
Kuna miundombinu ya kilimo cha mpunga huko juu Ndungu na bonde la Ruvu nferejini. Ila jiandae wanatumia nguvu za jadi, mila na desturi.
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Jun 29, 2019 8,466 14,882 Dec 25, 2019 #6 Sawa mkuu bigmind said: Pata safari @mr.MLEVIMmoja bill kwangu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu bigmind said: Pata safari @mr.MLEVIMmoja bill kwangu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Ochumeraa JF-Expert Member May 18, 2015 4,504 5,707 Dec 25, 2019 #7 Huko ukilima mazao ya MAHUSIANO, MAPENZI na URAFIKI yatastawi sana..(Accordingly)