jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,005
Modes naomba muulinde Uzi huu,nia na madhumuni kuanzisha thread hii ni kuwafungua macho wafanyabiashara na wajasiriamali wa Kitanzania juu ya fursa za biashara ndogondongo na za kati kati ya Ta zania na bara Ulaya.
Katika pitapita zangu kwenye masoko ambayo ni maarufu kwa watumiaji wa mwisho/walaji(major super markets),nitakuwa naweka bidhaa ambazo zinapatikana kwa wingi Tanzania lakini kwa Ulaya zina soko/bei nzuri.
Nitajaribu pia kuangalia vigezo kama ubora uhitajika,ufungashaji,bei,ladha (kwa uzoefu wangu wa bidhaa za nyumbani ukilinganisha na bidhaa zilipo sokoni hapa Ulaya) na bei pia.
NOTE;
Nita base sana kwenye washindani wengine wa kibiashara na soko letu la nyumbani.
Hapa namaanisha nitawekabidhaa ambazo zimetoka kwenye nchi mbalimbali,
Nia nikujadili wao wamewezaje na sisi tunakwama wapi,ikiwa wote tunabidhaa sawa au pengine za nyumbani ni bora zaidi.
Ifahamike hapa tunafunguana macho juu ya fursa,hivyo kwa maelezo zaidi ewe mjasiriamali unaweza kufwatilia kwenye mamlaka husika.
Wadau wote mnaoonafursa kokota mlipo tupia hapa pengine inaweza kumsaidia mjasiriamali mmoja au zaidi.
KWA KUANZIA HEBU TUANGALIE BIDHAA ZIFUATAZO:
MAJANI YA CHAI/BLACK TEE KUTOKA RWANDA.
UJAZO:
100gm
PACKAGE :
Mfuko wa Karatasi wa Kaki.
CERTIFICATIO/VIBALI :
Fair trade na EU cert kwa Wazalishaji nje ya Ulaya.
BEI:
Euro 5.99 (takribani Tsh 15,000) kwa pakiti moja ya gm 100
Hii ni bei ya rejareja sokoni kwa nchi za Austria,Uswiss na Ujerumani.
UBORA (based kwa uzoefu wangu):
Haya kolei kwenye chai pia haya ladha nzuri kama tunazozipata kwenye chai bora n.k nadhani kutokana na kukaa kwa muda mrefu na kukaushwa sana.
PARACHICHI
NCHI :
Amerika ya kusini
UBORA :
Hazina nembo
UJAZO :
Kama zinavyo onekana kwenye picha hapo.
PACKAGE :
Unpackage/hazija pakiwa.
BEI : Euro 2 (takribani Tsh 5,000) kwa moja (Austria,Uswiss na Ujerumani)
UBORA.
Nyingi ni ngumu sana,na huwezi kulinganisha na parachichi zenye unga kutoka Marangu mwika,Machame,Mbeya au Bukoba.
Note:Ni ndogondogo kama zinavyo onekana kwenye picha hapo,na zote ni za rangi ya kijani hata zikiwa zimeiva sana,sielewi kwanini haswa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika pitapita zangu kwenye masoko ambayo ni maarufu kwa watumiaji wa mwisho/walaji(major super markets),nitakuwa naweka bidhaa ambazo zinapatikana kwa wingi Tanzania lakini kwa Ulaya zina soko/bei nzuri.
Nitajaribu pia kuangalia vigezo kama ubora uhitajika,ufungashaji,bei,ladha (kwa uzoefu wangu wa bidhaa za nyumbani ukilinganisha na bidhaa zilipo sokoni hapa Ulaya) na bei pia.
NOTE;
Nita base sana kwenye washindani wengine wa kibiashara na soko letu la nyumbani.
Hapa namaanisha nitawekabidhaa ambazo zimetoka kwenye nchi mbalimbali,
Nia nikujadili wao wamewezaje na sisi tunakwama wapi,ikiwa wote tunabidhaa sawa au pengine za nyumbani ni bora zaidi.
Ifahamike hapa tunafunguana macho juu ya fursa,hivyo kwa maelezo zaidi ewe mjasiriamali unaweza kufwatilia kwenye mamlaka husika.
Wadau wote mnaoonafursa kokota mlipo tupia hapa pengine inaweza kumsaidia mjasiriamali mmoja au zaidi.
KWA KUANZIA HEBU TUANGALIE BIDHAA ZIFUATAZO:
MAJANI YA CHAI/BLACK TEE KUTOKA RWANDA.
UJAZO:
100gm
PACKAGE :
Mfuko wa Karatasi wa Kaki.
CERTIFICATIO/VIBALI :
Fair trade na EU cert kwa Wazalishaji nje ya Ulaya.
BEI:
Euro 5.99 (takribani Tsh 15,000) kwa pakiti moja ya gm 100
Hii ni bei ya rejareja sokoni kwa nchi za Austria,Uswiss na Ujerumani.
UBORA (based kwa uzoefu wangu):
Haya kolei kwenye chai pia haya ladha nzuri kama tunazozipata kwenye chai bora n.k nadhani kutokana na kukaa kwa muda mrefu na kukaushwa sana.
PARACHICHI
NCHI :
Amerika ya kusini
UBORA :
Hazina nembo
UJAZO :
Kama zinavyo onekana kwenye picha hapo.
PACKAGE :
Unpackage/hazija pakiwa.
BEI : Euro 2 (takribani Tsh 5,000) kwa moja (Austria,Uswiss na Ujerumani)
UBORA.
Nyingi ni ngumu sana,na huwezi kulinganisha na parachichi zenye unga kutoka Marangu mwika,Machame,Mbeya au Bukoba.
Note:Ni ndogondogo kama zinavyo onekana kwenye picha hapo,na zote ni za rangi ya kijani hata zikiwa zimeiva sana,sielewi kwanini haswa.
Sent using Jamii Forums mobile app