Furahia maisha na bayport

Furahia maisha na bayport

Nyie si mnazikimbiaga bank kukimbilia hivyo vi microfinance ambovyo asilimia kubwa vinamilikiwa na hao wa kwenye mabank wanawagonga makato makubwa kushinda ya bank.
 
Huyu jamaa ni Mtumishi mwenzao upande wa Sales. Anaipa promo tu.
 
Wakuu leo hi nayofuraha kusherekea pasaka baada ya bayport kunipa mkopo nafuu ambao utakaotimiza malengo yangu.bypot saf

Ni wangese sana hawa bayport! Jamaa yangu alihitaji mkopo na alijaza taarifa zake zote tangu tarehe 01/04/2014 lakini cha ajabu hadi leo bado hajapata mkopo.
Amejaribu kufuatilia sana lakini wanamzungusha tu na hawamwambii ukweli hadi sasa!

Ushauri tafadhali afanyaje huyu rafiki?
 
Badala ya kupunguza umasikini wao wanauongeza
 
NASIKITIKA SANA KUSIKIA MTU ANACHEKELEA BAYPORT,Watu wa Tandahimba mpaka sasa wanalia kwakua walimu wote kila shule wameumizwa kwa kubambikiwa deni~wameingiziwa milioni-wanalipa milioni tano..milioni 2 kwa milioni 9..WAMEHANGAIKA MNO BILA MAFANIKIO.
***KUNA MATANGAZO YAPO REDIONI YANACHEFUA SANA UNAALIKA WATU WAKAIBIWE***, ili wanao washibe!!
 
Tz nzima wanalia na hao bayport
siku hizi kwa wiki kwenye baadhi ya matawi wanaweza kupata hata mteja mmoja!

Kama umekopa miaka mi 3,wanaweza kukuchakachulia wakakuwekea miaka mi6

ukitaka upigwe mawe na mfanyakazi wa serikali,mpe habari za bayport
M mwenyewe yamenikuta nlikopa 3milion,nliandikiwa den milion 7
 
Ni wangese sana hawa bayport! Jamaa yangu alihitaji mkopo na alijaza taarifa zake zote tangu tarehe 01/04/2014 lakini cha ajabu hadi leo bado hajapata mkopo.
Amejaribu kufuatilia sana lakini wanamzungusha tu na hawamwambii ukweli hadi sasa!

Ushauri tafadhali afanyaje huyu rafiki?

Akunyimae Kunde, Akupunguzia.......

Ashukuru Mungu hajapewa kutokana na feedback ya waliokopa experience yao sio nzuri hata kidogo
 
Wakuu leo hi nayofuraha kusherekea pasaka baada ya bayport kunipa mkopo nafuu ambao utakaotimiza malengo yangu.bypot saf


.....ha ha ha hizo zitaishia pale Jackpub na carnivore na kule patamu ndo noma kweli Mkuu....
 
Kama unafuatilia bunge, katika "bayport" wazir mkuu alitolea majibu, kwamba hawana nguvu juu yao, ila acheni kukopa kwao.wakaanza kutafuta nyaraka za watu na kuwaingizia fedha kwa riba ya 500%. JOHN TONGO KAMA MNAWEZA KUFAITI KURUDISHA HIZO NYARAKA MTAOKOKA, Vinginevyo yatakayotokea rudi hapa tukupe pole..*NI AFADHARI YA KERO ZA MUUNGANO KULIKO ZA BAYPORT*
 
kama unafuatilia bunge, katika "bayport" wazir mkuu alitolea majibu, kwamba hawana nguvu juu yao, ila acheni kukopa kwao.wakaanza kutafuta nyaraka za watu na kuwaingizia fedha kwa riba ya 500%. John tongo kama mnaweza kufaiti kurudisha hizo nyaraka mtaokoka, vinginevyo yatakayotokea rudi hapa tukupe pole..*ni afadhari ya kero za muungano kuliko za bayport*

*ni afadhari ya kero za muungano kuliko za bayport*
 
Kama unafuatilia bunge, katika "bayport" wazir mkuu alitolea majibu, kwamba hawana nguvu juu yao, ila acheni kukopa kwao.wakaanza kutafuta nyaraka za watu na kuwaingizia fedha kwa riba ya 500%. JOHN TONGO KAMA MNAWEZA KUFAITI KURUDISHA HIZO NYARAKA MTAOKOKA, Vinginevyo yatakayotoa rudi hapa tukupe pole..*NI AFADHARI YA KERO ZA MUUNGANO KULIKO ZA BAYPORT*
Mmmmh!
 
Back
Top Bottom