Furahia Internet Bila Modem

Furahia Internet Bila Modem

Jamani wanajamvi najua hii tethering na share internet ya cm kwenda PC. Swali langu ni je kinyume chake inawezekana? Yaani internet ya PC kwenda Cm?
 
Je unayo Laptop,Tablet Pc,or Smartphone au vyote? Je unajua ukiwa na smartphone au tablet/Phablet huhitaji tena kununua modem ? Ndiyo,inawezekana.

Leo nitaeleza jinsi unavyoweza kufarahia internet kwenye PC yako,au vifaa vingine tajwa hapo juu bila kutumia modem au waya wowote .

HOW?
It is very simple just follow these steps:
1.Chukua smartphone yako au tablet/phablet then nenda kwenye "settings","Click "More..."

2.Click "Tethering and portable hotspot" then W-ifi -hotspot utaiona sehemu ya kuweka password yako.

3.Weka password yako au tumia iliyopo kwenye kifaa chako.Ukitaka kujua password ya kifaa chako tick/check kwenye kibox chenye maneno haya "Show Password"

4.Weka ON hapo kwenye 'Wifi-hotspot' then ENJOY!


NOTE:-Hapa unaweza kuunganisha devices/users hadi 5 au zaidi just click Wi-FI then ON.
-Kama Unatumia Laptop hakikisha umeinstall Wifi-hotspot kwanza, it's FREE!


Say byee.. to Modems!

ENJOY!

Genius One








Ngoja nijaribu..
 
Hii habar nilidhani ya 2010 kumbe imeandikwa 2016..!!!
 
Hii habar nilidhani ya 2010 kumbe imeandikwa 2016..!!!
Kwa hiyo nini kinakusumbua? Kama ulidhani imepitwa na wakati kwa nini ume-click na ukaisoma? ni nani kakulazimisha uisome? Jifunze kushirikisha akili yako kabla ya ku-comment.
 
Me binafsi nilikua sijui hii kitu na nilikua na tamani siku nyingi nijue thenks mleta Uzi si watu wote wanajua kila kitu
Kuna watu wapo dar ila kariakoo awapajui
 
Me binafsi nilikua sijui hii kitu na nilikua na tamani siku nyingi nijue thenks mleta Uzi si watu wote wanajua kila kitu
Kuna watu wapo dar ila kariakoo awapajui
Thanks pia ndugu!
 
Back
Top Bottom