Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Ile danganya toto tu.hakuna lolote!
mwanamke anapolia/lalamika huwa ina maana anapata raha....
Lakini hapo hapo kwenye kulia/kulalamika kuna kufake pia anajifanya analia kumbe hamna kitu hapo, inahitaji uzoefu kutofautisha hiyo milio
Hata akiwa anadanganya katika kujiliza poa tu, kulikoni bubu, maana kachuna ile mbaya hadi unaangalia usije ukawa unali'do godoro. Sauti au miguno ndio mpango mzima.........!
Ngoja niwape story ya mtaa wetu...kuhusu kulia....!
Nyumba ya kupanga ya vyumba sita ile ambayo juu hamna sealing bord.....! Katika nyumba hiyo kuna dada mmoja wa kipare, huwa wakianza mechi analia sio mchezo. Matokeao yake wamama ambao ni wapangaji wenzie, wakaamua kumshtakia yule dada wa kipare kwa mwenye nyumba ili awafukuze....kisa nini....eti, kila yule dada anapo'do lazima na wao wapelekewe moto na waume zao muda huo huo....yaani nyumba nzima siku hiyo watafanya kwakua huyo dada kalianzisha na mumewe.
True story.....!
Kibanga Msese