Furaha ya mwanaume imerejea

Furaha ya mwanaume imerejea

mpyepye

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
251
Reaction score
51
Habari njema kwa wanaume wote waliokosa heshima kwa wake zao.. nina dawa za kuongeza Nguvu za kiume za mitishamba za aina kama tatu ...MGEBERI, MRAKAKA na ESCROW kila moja inaumuhimu wake ....atakayehitaji atiririke nitamfikishia mpaka alipo kwa bei poa kabisa.. nakaribisha maswali.
 
Mim nina ya kurudisha nguvu za kike inaitwa Harbinder sethi Singh.. ni pm nkutumie chap
 
Hiyo Escrow bei gani?Hiyo ndo habari ya mjini kwa sasa.
 
Mimi nina Meremeta na Richmond za kumvuta Mwanamke na kumrudisha Mpenzi aliekukimbia kwa sababu ya kutokuwa na hela.
 
big up sana.. sasa tafuta na dawa ya kurudisha unyevunyevu kwa baadhi ya dada zetu...manake wengine ni msuguano kwa kwenda mbele..
 
Nataka dawa ya kupunguza nguvu za kiume kwa muda, nateseka sana ninapokuwa mbali na mke wangu kwa muda zaid ya wiki moja.
 
Nataka dawa ya kupunguza nguvu za kiume kwa muda, nateseka sana ninapokuwa mbali na mke wangu kwa muda zaid ya wiki moja.

Wewe wasiliana na Mzee wa Tezi Dume akupunguzie dozi yake kidogo umeze maana nasikia inapunguza sana hiyo kitu.
 
Dawa aina ya escrow inahitaji kisandarusi kuibeba si mchezo.
 
na hizo dawa zinabebwa kwenye rambo,kiroba,magunia, au ?
 
Dozi yake imekaaje?Unakunywa hapohapo au unaenda kunywea "New Jersey"?Mfumo wa "robota" au sandarusi"?lol!
 
Nina toroli la miguu mitatu atakayenunua escrow anikodi nimpelekee lumbesa.
 
Back
Top Bottom