FURAHA! Wape furaha

FURAHA! Wape furaha

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,939
Unajisikiaje ikiwa moyo wako una huzuni?
Kausha macho yako mwenyewe ili kufuta machozi ya mwingine
Katika ulimwengu huu mzuri kuna mabehewa mengi
Mengine yamebeba roho zilizovaa mavazi meusi zaidi.
Nafsi zilizopigwa na ukiwa , sononi na kukata tamaa, zingine zikiomboleza wafu wao,
matumaini yaliyokufa, furaha iliyokufa, miaka iliyokufa,
Kipofu anayetamani kuona nyota ambayo kila usiku wa manane hung'ara
Kiziwi anayetamani kusikia wimbo unaofurahisha kila asubuhi.

Toa chakula mahali ambapo mioyo yenye njaa inapigana na amri ya hatima;
Pumzika mahali ambapo mikono na miguu imechoka! Yape lesi macho yaliyojaa machozi
Imba ala zenye kuamsha hisia wape furaha, na furaha itakuvika taji la utu na kukuenzi
Umechaguliwa wewe kati ya wote.. Simama, nenda katende! Uwape furaha
Uwape tumaini jipya! Uwape faraja
612a38393cef63d40673c96eb32e6063.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu pombe 🍺sio poa kabisa
Juzi kuna mwana manzi wake kafariki sasa kama rafiki wa karibu tukaenda nae bar kupata moja baridi moja motrooo.

Msela kapiga chupa 5 kaanza kulia na kumtaja manzi wake, Q nae akadakia sasa mwana unalilia nini? Bora alivyo kwenda manzi mwenyewe malaya tu😳

Ana endela kuropoka kama huamini muulize mwana mbona mimi nisha mtomb…a sana tu nae mwanangu K kishapita nae😳.

Kilichotokea hapo acha tu na urafiki umekwishaa sina hamu na kumfariji mtu kwakweli.
 
Furaha is a state of mind. Nobody can give you it, if anyone will offer it to you then ujiandae kimwili na kiakili kupokea maumivu makubwa yatakayo zidi kiwango cha furaha aliyokupa. Coz soon or later she/he will demand something in return

If you want happiness, go and take it...
Happiness is not offered, is seized.😔
 
Furaha is a state of mind. Nobody can give you it, if anyone will offer it to you then ujiandae kimwili na kiakili kupokea maumivu makubwa yatakayo zidi kiwango cha furaha aliyokupa. Coz soon or later she/he will demand something in return

If you want happiness, go and take it...
Happiness is not offered, is seized.😔
Hapa ndio nimeelewa zaidi unapoint...
 
Furaha hii ni hali inayoonyesha moyo wako vile ulivyo na magumu unayopitia, Ikiwa wewe huna furaha usitegemee kuipata kutoka kwa mwingine, Jaribu kusahau yale yanaokutatiza ndipo unaweza anza ona kuta za furaha zikijijenga kwenye moyo wako hata amani ya moyo kurudi pahala pake...
 
Ujumbe mzuri ila kunao tunawafuta machozi na kuwapa raha kisha wao wanatuliza sisi, inakua zamu yetu kulia.
Jitahidi sana usiwekeze moyo wako ulikotoa furaha yako, na usitegemee kupokea furaha kwa unayemfurahisha, vinginevyo atakulipa machungu badala ya furaha uliyompatia
 
Unajisikiaje ikiwa moyo wako una huzuni?
Kausha macho yako mwenyewe ili kufuta machozi ya mwingine
Katika ulimwengu huu mzuri kuna mabehewa mengi
Mengine yamebeba roho zilizovaa mavazi meusi zaidi.
Nafsi zilizopigwa na ukiwa , sononi na kukata tamaa, zingine zikiomboleza wafu wao,
matumaini yaliyokufa, furaha iliyokufa, miaka iliyokufa,
Kipofu anayetamani kuona nyota ambayo kila usiku wa manane hung'ara
Kiziwi anayetamani kusikia wimbo unaofurahisha kila asubuhi.

Toa chakula mahali ambapo mioyo yenye njaa inapigana na amri ya hatima;
Pumzika mahali ambapo mikono na miguu imechoka! Yape lesi macho yaliyojaa machozi
Imba ala zenye kuamsha hisia wape furaha, na furaha itakuvika taji la utu na kukuenzi
Umechaguliwa wewe kati ya wote.. Simama, nenda katende! Uwape furaha
Uwape tumaini jipya! Uwape faraja
View attachment 2636090

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli.
 
Kwanza watu wenye roho nyeupe Kama yako hapa TANZANIA mnahesabika sijui Kama mpo wengi , niseme labda makuzi na malezi yameharibu nyoyo zetu Hadi Kupata faraya kwa kuona Matatizo ya mwenzio Kama faraja yako.

Unampa mtu upendo ila yeye hata hatambui anaishia kukutukana ,kukuibia n.k
 
Tatizo binadamu wa ckuiz hawapendeki kbsa, Ni Bora kila mtu ajitafutie furaha Yake mwenyewe
 
Back
Top Bottom