FURAHA! Wape furaha

FURAHA! Wape furaha

Kwanza watu wenye roho nyeupe Kama yako hapa TANZANIA mnahesabika sijui Kama mpo wengi , niseme labda makuzi na malezi yameharibu nyoyo zetu Hadi Kupata faraya kwa kuona Matatizo ya mwenzio Kama faraja yako.

Unampa mtu upendo ila yeye hata hatambui anaishia kukutukana ,kukuibia n.k
[emoji419][emoji375][emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua unaongelea Yanga, Yanga anashinda leo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
IMG-20230528-WA0072.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom