chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,661
Sasa ni wazi,
Baada ya harakati za muda mrefu za kubomoa upinzani, kununua wabunge,kuzuia mikutano ya hadhara na kadhalika, ilidhaniwa kwamba upinzani umekwisha.
Lahaula, sasa upinzani umezaliwa ndani ya Ccm yenyewe,humohumo ndani, mapambano yanaendelea na tunaona tu chupa,rungu,mawe yanavurumishwa ndani ya Nyumba.
Ni wazi kwamba binadamu hata umpe nini, ukimnyima Uhuru, hata vitu vya thamani ulivyompa hataviona thamani yake.
Turudi mezani tupange mikakati upya,mbinu ya sasa imekwama na imeleta nyufa kubwa ndani ya Nyumba.
Na ni wazi kwamba wazee walioongoza nchi hii kwa muda mrefu hawaridhiki,nadhani Makamba na Kinana wametangulizwa kwanza kabla wazee wenyewe hawajasema
Baada ya harakati za muda mrefu za kubomoa upinzani, kununua wabunge,kuzuia mikutano ya hadhara na kadhalika, ilidhaniwa kwamba upinzani umekwisha.
Lahaula, sasa upinzani umezaliwa ndani ya Ccm yenyewe,humohumo ndani, mapambano yanaendelea na tunaona tu chupa,rungu,mawe yanavurumishwa ndani ya Nyumba.
Ni wazi kwamba binadamu hata umpe nini, ukimnyima Uhuru, hata vitu vya thamani ulivyompa hataviona thamani yake.
Turudi mezani tupange mikakati upya,mbinu ya sasa imekwama na imeleta nyufa kubwa ndani ya Nyumba.
Na ni wazi kwamba wazee walioongoza nchi hii kwa muda mrefu hawaridhiki,nadhani Makamba na Kinana wametangulizwa kwanza kabla wazee wenyewe hawajasema