Mkorinto, kwanza kabisa ukishasema hakuna hewa mpya itakayoingia ina maan kwamba bado kuna hewa ya zamani ndani ya chupa ambayo ina bacteria wa kutosha watakaofanya decay process ya meat.pili ili hao funza(maggots) waweze kutokea lazima nyama ama chochote kile kioze na purpose ya hao bacteria ni kuozesha hiyo nyama.Tatu lazima wawepo flies watakaodondosha mayai yao katika decayed meat hayo mayai ndio yata develop into maggots.prove ya hili ilifanywa na Italian biologist Francesco Redi in 1668 alionyesha kwamba decaying meat protected from flies does not spontaneously produce maggots.
Umefunika chakula vizuri kabisaa, hakuna nafasi ya kuingia mdudu yeyote, ila bahati mbaya ukasahau kukiweka kwenye friji.
Siku kadhaa zinapita unafunua chakula unakuta kimeharibika na funza tele wamejaa, wametokea wapi hawa funza?
Nyama ipo ndani ya mfuko au chombo bahati mbaya imeoza unakuta funza kibao, tena wakubwa, wanatokea wapi hawa funza?
Hawa funza huwa wanatokea wapi? ninajiuliza mara nyingi sijawahi pata majibu!!
kuhusu funza kusababishwa na nzi;
kuna watu wamechangia nyama iliyowekwa kwenye ovena ikapata moto, ovena ikazimwa lakin bahat mbaya nyama ikasahaulika humo, lakin funza wakatokea. mayai nzi alitaga muda gani??
kuhusu bakteria kusababisha funza;
baketria anasababishaje funza haijaeleweka, bakteria ndio anabadilika kuwa funza? bakteria ndio tunakubali anasababisha chakula au nyama iharibike, mbona isiharibike tu na kuoza bila kutokea funza?!