- Thread starter
- #41
Ahsante sana. Karibu sanaHongereni sana
Ahsante sana. Karibu sanaHongereni sana
Mradi upo Bagamoyo Kiwangwa lakini ofisi zetu zipo Sinza Makaburi nyuma ya jengo la PSSSF COMPLEXKasema makaburini
asante kwa kujibu. langstroth ni bei gani na inakuwa na frem ngapi boss wangu? Na pia kwanda site kuna gharama yeyote?1. Tanzania Top Bar Hives
2. Langstroth
Langstroth ina 10 frame ni 150,000/=. Ndiyo kwenda site unachangia shilingi elfu 10 ya nauli kwenda na kurudi lakini kama unausafiri wako hautochangia chochote.asante kwa kujibu. langstroth ni bei gani na inakuwa na frem ngapi boss wangu? Na pia kwanda site kuna gharama yeyote?
SAFI SANA, SASA TUNAENDAJE? LINI, NA MUDA GANI?Langstroth ina 10 frame ni 150,000/=. Ndiyo kwenda site unachangia shilingi elfu 10 ya nauli kwenda na kurudi lakini kama unausafiri wako hautochangia chochote.
Kwenda ni kesho tunakutana asubuhi saa mbili nanusu uwe umefika mwenge mataa. Lakini piga 0762936519 ili kujiandikisha majina yako namba za simu na mahali unapotokea.SAFI SANA, SASA TUNAENDAJE? LINI, NA MUDA GANI?
poa kesho asubuhi nikifanikiwa kuamka salama nitakupigia.Kwenda ni kesho tunakutana asubuhi saa mbili nanusu uwe umefika mwenge mataa. Lakini piga 0762936519 ili kujiandikisha majina yako namba za simu na mahali unapotokea.
Thanks, I was thereKwenda ni kesho tunakutana asubuhi saa mbili nanusu uwe umefika mwenge mataa. Lakini piga 0762936519 ili kujiandikisha majina yako namba za simu na mahali unapotokea.
Lete ushuhuda wa kile ulichokishuhudia huko funyukiThanks, I was there
maeneo yapo na ni pazuri kwa ufugaji wa nyuki
Thank youThanks, I was there

Chavua ndio nn?Thank you![]()
Chavua ni moja ya zao la nyuki (pollens) ambayo nyuki hutoa kwenye maua kwa ajli ya kuipeleka ndani ya mzinga ili kutengeneza chakula chaoChavua ndio nn?
nimeelewa kiasi? je hiyo gharama ya mwezi nitaanza kuilipa nitakapoanza kuvuna? maana najua mizinga itachukua muda kujaa. au napaswa nianze kuwalipa hiyo pamoja na gharama za usimAmizi kabla sijavuna?Mashamba yapo DSM Bagamoyo Kiwangwa.
Heka moja unaweka mizinga 60 hadi 70
Shamba likiwa chini ya usimamizi wetu utachangia gharama kulingana na idadi ya mizinga mfano mizinga 10 hadi 30 utachangia 30,000/= kila mwezi.
Na ukikamilisha malipo yako unapatiwa hati miliki.
Sisi ni TANZANIA INTERNATIONAL BEE COMPANY na Mr kuku hausiki kwa vyovyote vile kwenye mradi wetu. Lakini pia unaweza kututembelea siku yoyote ya kazi ofisini kwetu.
ukichukua hekari 1 ya shamba ina thamani ya 1.2m na ukisema unaanza na mizinga 10 ya kisasa mzinga 1 unauzwa 150,000 hivyo mizinga 10=1.5m,,,jumla ya gharama zote ni (1.2m+1.5m) =2.7M, hivyo badala ya kutoa 2,700,000 kwa pamoja utalipia 810,000=30% ya gharama zote ,, na salio linalo baki ambalo ni 1,890,000 utagawa kwa miezi 20 =94,500 TU ndiyo utakayokuwa ukitakiwa kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 20 wakati huo ukivuna mazao yako kama vile ASALI,CHAVUA, GUNDI,NTA n.k
Hii ni kama ya yule bwana kuku sasa ipo kwenye nyuki hopefully bwana mbuzi na n'gombe wapo njiani....



Gharama ya mwezi unatakiwa Kuanza kulipa kila mwezi hiyo ni constant,,,(labda uamue kulipia Deni lako lote kwa pamoja Ni ruksa pia).nimeelewa kiasi? je hiyo gharama ya mwezi nitaanza kuilipa nitakapoanza kuvuna? maana najua mizinga itachukua muda kujaa. au napaswa nianze kuwalipa hiyo pamoja na gharama za usimAmizi kabla sijavuna?
Na je kwa idadi ya mizinga hiyo kumi lengo litafikiwa?