ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Hii ni kama ya yule bwana kuku sasa ipo kwenye nyuki hopefully bwana mbuzi na n'gombe wapo njiani....
So interested, je tayari kuna watu tayari mmesha wapa huduma yenu mpaka sasa? na je mna shamba lenu la mfano?Haya hapa makadirio ya mavuno kwa mzinga mmoja hivyo utazidisha kwa idadai ya mizinga utayokuwa nayo kwenye manzuki yako. View attachment 2158270
Inatakuwa wenyewe wawe na ekari kama 50 zilizojaa mizinga na wanavuna asali, na hilo lina kuwa sehemu ya shamba darasa na mfano biashara ulio hai, hapo ndio unaweza waamini.Hii ni kama ya yule bwana kuku sasa ipo kwenye nyuki hopefully bwana mbuzi na n'gombe wapo njiani....
Sawa kiongozi. Nashukuru kwa maoniKingine mkuu Bagamoyo ni wilaya iko mooa wa Pwani, unakosea kuandika mradi uko DSM we andika tu Pwani wenye nia watakuja tu hata iwe Katavi.
Majibu hapa..So interested, je tayari kuna watu tayari mmesha wapa huduma yenu mpaka sasa? na je mna shamba lenu la mfano?
Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
Majibu hapa..
ndiyo kuna watu wapo ndani ya huduma tayari na sisi tuna mfano wa shamba letu pia . Karibu ujifunze ufugaji nyuki na maisha ya nyuki kiujumla.Kwa kuanzia naweza pata mafunzo pekee kabla ya uwekezaji? Kama ndio je itanigharimu kiasi gani na kwa muda gani.ndiyo kuna watu wapo ndani ya huduma tayari na sisi tuna mfano wa shamba letu pia . Karibu ujifunze ufugaji nyuki na maisha ya nyuki kiujumla.
Samahani kwa kuchelewa kukujibu. Mafunzo ni wiki 3 na gharama ni laki moja. Kwa maelezo zaidi tupigie simu 0744344488 na 0762936519 au fika ofisini kwetu.Kwa kuanzia naweza pata mafunzo pekee kabla ya uwekezaji? Kama ndio je itanigharimu kiasi gani na kwa muda gani.
Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
si vyema kuvamia thread ya biashara ya mtu mwingine, muda muafaka ukifika tutakujuza tunashughulika na nini.Ilula Hills mnashughulika na nn? Unanikumbusha Mazombe....samahani nje ya mada
Kasema makaburinimradi upo wapi?
Ndiyo ndiyo.kwa hiyo mwishoni shamba eka 1 inakuwa yangu na hati zake
1. Tanzania Top Bar Hivesni aina gani ya mizinga mnayouza?
Unatakiwa kufanya bating kwa kutumia nta ambayo itawavutia nyuki kuingia.Hivi natakiwa kuweka nini kwenye mzinga ili nyuki waingie!?