FUNYUKI (Fuga Nyuki Kibiashara)

FUNYUKI (Fuga Nyuki Kibiashara)

Hii ni kama ya yule bwana kuku sasa ipo kwenye nyuki hopefully bwana mbuzi na n'gombe wapo njiani....
 
Kingine mkuu Bagamoyo ni wilaya iko mkoa wa Pwani, unakosea kuandika mradi uko DSM we andika tu Pwani wenye nia watakuja tu hata iwe Katavi.
 
Ilula Hills mnashughulika na nn? Unanikumbusha Mazombe....samahani nje ya mada
 
kwa hiyo mwishoni shamba eka 1 inakuwa yangu na hati zake
 
Back
Top Bottom