FUNYUKI (Fuga Nyuki Kibiashara)

FUNYUKI (Fuga Nyuki Kibiashara)

AngelB

Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
28
Reaction score
9
Ukiwa wewe ni mtanzania ambae unatamani kuanza ufugaji wa nyuki lakni hujui pakuanzia, huna mtaji wa kutosha ,huna eneo rafiki kwa ajili ya ufugaji n.k , sisi kama watekelezaji wa mradi wa FUNYUKI tunakupa shamba kuanzia hekari 1 ambalo unaweza kufuga kwa kutumia mizinga 10-70 katika mfumo wa open apiary (Manzuki za wazi), gharama za shamba na idadi ya mizinga kwa ujumla wake utatakiwa kulipia malipo ya awali sawa na 30% tu ya gharama zote.

Kisha 70% ya gharama zinazo baki utalipia kidogo kidogo ndani ya miezi 20 (Mwaka mmoja na miezi 8) wakati huo ukipata huduma zote zikiwemo usimamizi wa shamba lako , mafunzo ya kuvuna mazao ya kibiashara kama vile chavua ,huduma ya masoko n.k, endapo utamaliza deni lako lote TUTAKUPATIA HATI MILIKI YA SHAMBA LAKO hapo utakuwa na umiliki wa 100% ya shamba lako kisheria.

Ofisi zetu zipo Dar es Salaam Sinza Makaburini au Sinza Kivulini. Tupo wazi jumatatu hadi jumamosi saa 2 asubuhi hadi saa 11.30 jioni.
watsap me #0762936519 kwa maelezo zaidi.

NB : Jumamosi ya tarehe 26/3/2022 ni siku rasmi ya uzinduzi wa mradi huu ambapo tutatembelea site ili kujionea mashamba yetu yalivyo. na karibuni sana.

Screenshot_20220320-161835_Instagram.jpg


IMG-20220319-WA0009.jpg
 
Hongereni sana kwa jitihada hizi. Hayo mashamba yanakuwa sehemu zipi? (Mikoa + Wilaya).

Na gharama kwa ekari moja ni kiasi gani?
 
Hongereni sana kwa jitihada hizi. Hayo mashamba yanakuwa sehemu zipi? (Mikoa + Wilaya).

Na gharama kwa ekari moja ni kiasi gani?
Kwasasa mashamba yapo Bagamoyo Kiwangwa. Kwa mkoani bado hatujafika lakini unaweza kufanya uwekezaji popote pale ulipo chini ya usimamizi wetu au wew mwenyewe kuamua kuweka msimamizi endapo utakua bize na shughuli zingine
 
Ukiwa wewe ni mtanzania ambae unatamani kuanza ufugaji wa nyuki lakni hujui pakuanzia, huna mtaji wa kutosha ,huna eneo rafiki kwa ajili ya ufugaji n.k , sisi kama watekelezaji wa mradi wa FUNYUKI tunakupa shamba kuanzia hekari 1 ambalo unaweza kufuga kwa kutumia mizinga 10-70 katika mfumo wa open apiary (Manzuki za wazi), gharama za shamba na idadi ya mizinga kwa ujumla wake utatakiwa kulipia malipo ya awali sawa na 30% tu ya gharama zote, kisha 70% ya gharama zinazo baki utalipia kidogo kidogo ndani ya miezi 20 (Mwaka mmoja na miezi 8) wakati huo ukipata huduma zote zikiwemo usimamizi wa shamba lako , mafunzo ya kuvuna mazao ya kibiashara kama vile chavua ,huduma ya masoko n.k, endapo utamaliza deni lako lote TUTAKUPATIA HATI MILIKI YA SHAMBA LAKO hapo utakuwa na umiliki wa 100% ya shamba lako kisheria.
Ofisi zetu zipo Dar es Salaam Sinza Makaburini au Sinza Kivulini. Tupo wazi jumatatu hadi jumamosi saa 2 asubuhi hadi saa 11.30 jioni.
watsap me #0762936519 kwa maelezo zaidi.

NB : Jumamosi ya tarehe 26/3/2022 ni siku rasmi ya uzinduzi wa mradi huu ambapo tutatembelea site ili kujionea mashamba yetu yalivyo. na karibuni sana. View attachment 2158064View attachment 2158063View attachment 2158067View attachment 2158066View attachment 2158069View attachment 2158074

View attachment 2158071
Embu kua more professional basi, unataka watu wajiunge kwenye mradi kwa maelezo ya kijuu juu hivi?

Fafanua
1) Mashamba yako wapi?
2) Hiyo heka moja inakaa mizinga mingapi?
3) Bei ya Mashamba ni pamoja na mizinga au?
4) Usimamizi bei gani kwa heka/mzinga
5) Mnunuzi/Mwekezaji atapatiwa nini kumthibitishia umiliki
6) Etc

Halafu tuhakikishie Mr. Kuku (Tariq) kama hawezi kuwemo kwenye huu mradi.
 
Embu kua more professional basi, unataka watu wajiunge kwenye mradi kwa maelezo ya kijuu juu hivi?

Fafanua
1) Mashamba yako wapi?
2) Hiyo heka moja inakaa mizinga mingapi?
3) Bei ya Mashamba ni pamoja na mizinga au?
4) Usimamizi bei gani kwa heka/mzinga
5) Mnunuzi/Mwekezaji atapatiwa nini kumthibitishia umiliki
6) Etc

Halafu tuhakikishie Mr. Kuku (Tariq) kama hawezi kuwemo kwenye huu mradi.
Ni kweli, lakini pia si vibaya akitupatia makadio ya mavuno kwa hiyo heka moja ni kiasi gani.

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 
Embu kua more professional basi, unataka watu wajiunge kwenye mradi kwa maelezo ya kijuu juu hivi?

Fafanua
1) Mashamba yako wapi?
2) Hiyo heka moja inakaa mizinga mingapi?
3) Bei ya Mashamba ni pamoja na mizinga au?
4) Usimamizi bei gani kwa heka/mzinga
5) Mnunuzi/Mwekezaji atapatiwa nini kumthibitishia umiliki
6) Etc

Halafu tuhakikishie Mr. Kuku (Tariq) kama hawezi kuwemo kwenye huu mradi.
Mashamba yapo DSM Bagamoyo Kiwangwa.

Heka moja unaweka mizinga 60 hadi 70

Shamba likiwa chini ya usimamizi wetu utachangia gharama kulingana na idadi ya mizinga mfano mizinga 10 hadi 30 utachangia 30,000/= kila mwezi.

Na ukikamilisha malipo yako unapatiwa hati miliki.

Sisi ni TANZANIA INTERNATIONAL BEE COMPANY na Mr kuku hausiki kwa vyovyote vile kwenye mradi wetu. Lakini pia unaweza kututembelea siku yoyote ya kazi ofisini kwetu.




ukichukua hekari 1 ya shamba ina thamani ya 1.2m na ukisema unaanza na mizinga 10 ya kisasa mzinga 1 unauzwa 150,000 hivyo mizinga 10=1.5m,,,jumla ya gharama zote ni (1.2m+1.5m) =2.7M, hivyo badala ya kutoa 2,700,000 kwa pamoja utalipia 810,000=30% ya gharama zote ,, na salio linalo baki ambalo ni 1,890,000 utagawa kwa miezi 20 =94,500 TU ndiyo utakayokuwa ukitakiwa kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 20 wakati huo ukivuna mazao yako kama vile ASALI,CHAVUA, GUNDI,NTA n.k
 
Mashamba yapo DSM Bagamoyo Kiwangwa.

Heka moja unaweka mizinga 60 hadi 70

Shamba likiwa chini ya usimamizi wetu utachangia gharama kulingana na idadi ya mizinga mfano mizinga 10 hadi 30 utachangia 30,000/= kila mwezi.

Na ukikamilisha malipo yako unapatiwa hati miliki.

Sisi ni TANZANIA INTERNATIONAL BEE COMPANY na Mr kuku hausiki kwa vyovyote vile kwenye mradi wetu. Lakini pia unaweza kututembelea siku yoyote ya kazi ofisini kwetu.




ukichukua hekari 1 ya shamba ina thamani ya 1.2m na ukisema unaanza na mizinga 10 ya kisasa mzinga 1 unauzwa 150,000 hivyo mizinga 10=1.5m,,,jumla ya gharama zote ni (1.2m+1.5m) =2.7M, hivyo badala ya kutoa 2,700,000 kwa pamoja utalipia 810,000=30% ya gharama zote ,, na salio linalo baki ambalo ni 1,890,000 utagawa kwa miezi 20 =94,500 TU ndiyo utakayokuwa ukitakiwa kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 20 wakati huo ukivuna mazao yako kama vile ASALI,CHAVUA, GUNDI,NTA n.k
mapato yapoje kwa mizinga 70 kwa mwaka?
 
Mashamba yapo DSM Bagamoyo Kiwangwa.

Heka moja unaweka mizinga 60 hadi 70

Shamba likiwa chini ya usimamizi wetu utachangia gharama kulingana na idadi ya mizinga mfano mizinga 10 hadi 30 utachangia 30,000/= kila mwezi.

Na ukikamilisha malipo yako unapatiwa hati miliki.

Sisi ni TANZANIA INTERNATIONAL BEE COMPANY na Mr kuku hausiki kwa vyovyote vile kwenye mradi wetu. Lakini pia unaweza kututembelea siku yoyote ya kazi ofisini kwetu.




ukichukua hekari 1 ya shamba ina thamani ya 1.2m na ukisema unaanza na mizinga 10 ya kisasa mzinga 1 unauzwa 150,000 hivyo mizinga 10=1.5m,,,jumla ya gharama zote ni (1.2m+1.5m) =2.7M, hivyo badala ya kutoa 2,700,000 kwa pamoja utalipia 810,000=30% ya gharama zote ,, na salio linalo baki ambalo ni 1,890,000 utagawa kwa miezi 20 =94,500 TU ndiyo utakayokuwa ukitakiwa kulipia kidogo kidogo ndani ya miezi 20 wakati huo ukivuna mazao yako kama vile ASALI,CHAVUA, GUNDI,NTA n.k
Hii bei ya TZS 1.2mil kwa heka ndio bei ya soko hapo Shamba lilipo?
Majirani wote wanajua hii ndio bei ya sasa ya kuuza/kununua shamba?

Pili vipi kama nikija na mizinga yangu Mwenyewe? Pengine kuna mahali nitaipata kwa bei cheaper zaidi.
 
Hii bei ya TZS 1.2mil kwa heka ndio bei ya soko hapo Shamba lilipo?
Majirani wote wanajua hii ndio bei ya sasa ya kuuza/kununua shamba?

Pili vipi kama nikija na mizinga yangu Mwenyewe? Pengine kuna mahali nitaipata kwa bei cheaper zaidi.
Yes...ndo bei ya hekari 1..kwa njia ya mkopo ila ukiwa na cash utapewa punguzo la 10%

Kuhusu swala la mizinga yako,,unaruhusiwa endapo tu utakuwa una umiliki wa 100% wa shamba lako..ama utakuwa unahitaji shamba tu ...unaweza kulitumia vyovyote,,upendavyo hakuna atakae kuingilia
 
Back
Top Bottom