Acha kulewa muda wa kazi mangiKuna fununu nimezisikia eti , kuna miamba , wanawapa mimba wadada ikifikia miezi mitano wanashawishi itolewe , mdada akiogopa anafanya maarifa ya kuwa patia kombikit bila kujijua 🤔
Ikishatoka , kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .
Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja , ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.
Karibuni bia 🍻🍻
Kuna fununu nimezisikia eti , kuna miamba , wanawapa mimba wadada ikifikia miezi mitano wanashawishi itolewe , mdada akiogopa anafanya maarifa ya kuwa patia kombikit bila kujijua 🤔
Ikishatoka , kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .
Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja , ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.
Karibuni bia 🍻🍻
Haha kawaida bwashee leo nipo off, najipongeza kidogo
Asante kwa swali zuri na wengine tupate kujua.Kombikit ni kitu gani kwa faida ya wote ili wakipewa wakatae
Hii wapi nikaudhurie ibada
Binadamu hajawahi kuishia vihojaKuna fununu nimezisikia eti , kuna miamba , wanawapa mimba wadada ikifikia miezi mitano wanashawishi itolewe , mdada akiogopa anafanya maarifa ya kuwa patia kombikit bila kujijua 🤔
Ikishatoka , kitu inazikwa halafu inafukuliwa na kuchimbwa mlangoni mwa biashara kwa masharti makali ya mganga kuvuta vibunda na kupiga pesa .
Wadada kaeni chonjo hizi stories nimesikia kwa mmalawi mmoja , ikifika bongo kwa wale wazee wa imani za hovyo mmekwisha.
Karibuni bia 🍻🍻
Mganga kaokoka💥💪🏿🔥🤣Mganga sema kitu😅