fundi wa printer anahitajika

Adolph

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2010
Posts
895
Reaction score
346
wakuu salaam, natumai wote tu wazima wa afya...nina printer yangu moja EPISON L805..ilikua haiwi detected na computer...ilikufa ghafla tu...akaja fundi mmoja tapeli akaniambia kadi imekufa...akaondoka na kadi kwenda kuitengeneza ndo hapatikani hadi kesho..
naomba msaada wenu wapi ntampata fundi wa printer na ikiwezeana sehemu ambayo nitapata kadi za hii printer EPISON L805
shukran!!!
 
Kadi ndio printer na nilazima upate iyo kadi kwanza. Na kama hutampata uyo Fundi Fanya upate nyingine.
 
nipo kibaha pwani mkuu
 
Habari yako! vipi ushapata fundi wa printer yako? kama bado nijibu nikuonganishe na fundi,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…