Nahitaji kijana mwenye ujuzi wa kuelekeza dish la dstv kwenye satellite yao. Kuna kipindi walihama hivyo nataka anirudishe hewani. Kama weye unaweza kufanya hiyo au una mtu nipm unipe mawasiliano yake/yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.