Fundi wa AC anatafutwa

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,030
Reaction score
59,683
Natafuta fundi ac ya ukutani. Ina drip maji, na marengenezi mengine. Muhim sana kama kuna kampuni ynaijua inatengeneza AC naombeni mniunganishe na hio kampuni.
Asanteni sana.
Nipo dsm masaki
 
Saint
Mimi sio fundi lakini ni utundu tu
Ina drip maji wapi? Kwani ac lazima itowe maji tatizo ikiwa yanadondoka ndani, hapo itakuwa drain imeziba au haiko level kwenye slope ili kufanya maji yamwagike nje, pia kama hubadilishi au kusafisha filter, coil ikiwa chafu au airflow haiko ya kutosha hufanya coil kufanya barafu na kudondosha maji,
 
Hilo tatizo hutoliweza. Kuna kampuni ya wahindi imeshindwa, but nimekukubali. Unajua
 
Cheki najamaa MKUU yuko fit na ac nahana tamaa
 
Saint Ivuga
Vipi tatizo la AC limemalizikia vipi? nitapenda sana kama ukinijuulisha nini ilikuwa solution
Ahsante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…