Hello
Jamani, kwa wale wenye taaluma ya ujenz
Nnahitaji fundi ambae anauwezo wa kuchkua ramani ntakayo mpa na kusmamia ujenzi wa simple house hadi itakapokwisha/
Sifa za muombaji
1. Mzoefu
2. Mwaminifu
3. Proven CV
4. Reasonable cost
5. Mwanaume
6. Awe DSM
Naomba tuwasiliane kama upo
Jamani, kwa wale wenye taaluma ya ujenz
Nnahitaji fundi ambae anauwezo wa kuchkua ramani ntakayo mpa na kusmamia ujenzi wa simple house hadi itakapokwisha/
Sifa za muombaji
1. Mzoefu
2. Mwaminifu
3. Proven CV
4. Reasonable cost
5. Mwanaume
6. Awe DSM
Naomba tuwasiliane kama upo