nyegere86
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 2,215
- 3,903
- Thread starter
- #21
Nitaenda tena soon juzi nilienda tu kuona ofisi na kujua gharama na mambo mengine. Nimekuta mashati yanashonwa pale ukiyakuta kwenye maduka makubwa unapigwa bei ya hataree. Jamaa kaniambia nisiporidhika na suti ruksa kuacha kuichukuaaUmemkubalie..jamaa ni noma sana hunishonea nguo tangu 2007..nilisahau kukuambia umweleze umeelekezwa kwake na dr.
Sent using Jamii Forums mobile app