Nimependa kazi zenu kama kweli ni zenu. Tanzania tatizo ni finishing lakini kwa hizo picha zinaonesha ni finishing za viwango.
Mnafanya kutumia hardwood zipi? Kwa anaetaka.
Mnafanya milango na madirisha ya mbao (hardwood) pia?
Mtu akiwa pa picha ya design anayoitaka mnamfanyia?