Fundi ipad

Fundi ipad

Joined
Jun 28, 2012
Posts
30
Reaction score
3
Habari zenu ndugu zangu. Natafuta mtu wa kunitengenezea ipad yangu.Tatizo ni kwamba niliidondosha na hapo haikuweza kuwaka tena.kwa mwenye uwezo naomba anitaarifu japo kwa PM. Asante.
 
iPad generation gani? je haiwaki kwa maana ipi? imezima kabisa au ina blink? mie si fundi ila nina uzoefu mkubwa na iPad.
 
Pelekwa Authorized Dealers Mtaani utachakachuliwa na isiwake ushaona kuna sehemu hata ya kuweka bisi bisi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom