Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,884
- 18,824
Huko Uturuki Kuna mto uliojipindapinda unaoitwa mto meander. Kutokana na mto huu kujipindapinda mito ndiyo kukaitwa meandering.
Uje uipige picha ukipata nafasi.Naufananisha na mto wangu lukuledi kutoka masasi kuja kumwaga Lindi mingoyo Indian Ocean
aelekea lindi umepapenda sana aiseeNaufananisha na mto wangu lukuledi kutoka masasi kuja kumwaga Lindi mingoyo Indian Ocean
nafanya Ruvuma basin so Niko aware na water resource hioMkuu in
aelekea lindi umepapenda sana aisee
Nauliza why unafurahi sana kuishi Lindi?Nope ni kwa sababu
nafanya Ruvuma basin so Niko aware na water resource hio
Uzi tayari.Huko Uturuki Kuna mto uliojipindapinda unaoitwa mto meander. Kutokana na mto huu kujipindapinda mito ndiyo kukaitwa meandering.
View attachment 3408279
Sifurahii na hata hivyo next 2 month naondoka mkuu naenda abroad kusoma four years kwa hiyo me na Lindi Tunaachana rasmi kwa heri ya kuonana.kwanini ulisema napenda Lindi hapana sikupenda ila kaZ ilinifanya nilishafanya mchakato wa transfer ukawa uko pending..sasa utafanyaje utaacha kuishi kwa sababu hupapendi inabidi ukome nako..Lindi bado Sana imagine nakaa mtanda hill mjini pale pale ila butcher,saloon ,wakala inabidi nishuke town na bodaboda sasa mji gani huo.sipapendi hata wife na familia nishawamisha wangeshindwa maisha magumu wafanyabiashara na watu Wana roho ya ugumu ugumu Tu..me napenda dar na SINGIDA basiiNauliza why unafurahi sana kuishi Lindi?
Kweli aisee watu wa Lindi wana roho ngumu sana yaani bado sana biashara ziko hovyo SanaSifurahii na hata hivyo next 2 month naondoka mkuu naenda abroad kusoma four years kwa hiyo me na Lindi Tunaachana rasmi kwa heri ya kuonana.kwanini ulisema napenda Lindi hapana sikupenda ila kaZ ilinifanya nilishafanya mchakato wa transfer ukawa uko pending..sasa utafanyaje utaacha kuishi kwa sababu hupapendi inabidi ukome nako..Lindi bado Sana imagine nakaa mtanda hill mjini pale pale ila butcher,saloon ,wakala inabidi nishuke town na bodaboda sasa mji gani huo.sipapendi hata wife na familia nishawamisha wangeshindwa maisha magumu wafanyabiashara na watu Wana roho ya ugumu ugumu Tu..me napenda dar na SINGIDA basii