Fumbo la kihisabati

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,812
Mwizi alimuibia mwenye duka shilingi laki moja baadae akarudi na hiyo pesa amanunua vitu vya elfu tisini na mwenye duka bila kujua akamrudishia chanji yake ya elfu kumi

Je mwenye duka alipoteza kiasi gani cha pesa?



HATA INZI AKIACHA UJINGA ANAWEZA KUTENGENEZA ASALI KAMA NYUKI
 
Laki mbili mzee baba
 
Upo vema mkuu
Tunaposema mtu kanunua vitu vya 90,000 maana yake ni kwamba alitoa 90,000 na akabaki na 10,000, na huyo mwenye duka akampa tena chenji ya shs.10,000, kwahiyo 10k aliyobaki nayo + bidhaa za 90k + chenji ya 10k unapata 110k; unless otherwise lugha ndio tatizo.
 
Nimekupata mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…