Tunaposema mtu kanunua vitu vya 90,000 maana yake ni kwamba alitoa 90,000 na akabaki na 10,000, na huyo mwenye duka akampa tena chenji ya shs.10,000, kwahiyo 10k aliyobaki nayo + bidhaa za 90k + chenji ya 10k unapata 110k; unless otherwise lugha ndio tatizo.