Mkuu kwanza,huyo shemejio anamakosa ! Pili huyo rafikiyo akae na huyo mkewe amuulize tatizo lake huenda jamaa yako ni mtu wa mastress kwa mkewe ,mwisho wakapime afya zao kabisaa then ye ndo mwenye maamuzi hata biblia imesema mke aachwi bali kwa uasherati so aamue mwenyewe amuache ama amsamehe waendelee na maisha ...over!!
Alimwambia aseme ukweli ili amsamehe, ndiyo akasema anafanya kazi jengo moja, akitoka anamsaidia lift jion wakati mwingine asubuhi, akamtongoza, Sasa aliogopa kumkatalia kwa kuhofia kunyimwa lift, akawa anamrusha rusha, mwisho wa siku jamaa alimzidi ujanja akajikuta anatembea nae, ila amekataa kusema ametembea nae mala ngapi.
wewe hujawahi kukutana na papuchi za maana,,kuna papuchi taamu ajabu yaani hata usikie waziri mkuu anazengea mkeo utataka kuenda kupigana...papuchi mnato,taamu,ina joto kama jiko la mkaa la udongo..hapana chezea ww...naongea nikiwa na uhakika kabisaaaaahivi kisa cha kwenda kushikana mashati na mtu kwasababu ya papuchi ni nini?
Alimwambia aseme ukweli ili amsamehe, ndiyo akasema anafanya kazi jengo moja, akitoka anamsaidia lift jion wakati mwingine asubuhi, akamtongoza, Sasa aliogopa kumkatalia kwa kuhofia kunyimwa lift, akawa anamrusha rusha, mwisho wa siku jamaa alimzidi ujanja akajikuta anatembea nae, ila amekataa kusema ametembea nae mala ngapi.
Ndpa inahusisha watu wawili wenye jinsia mbili tofauti
Wanaokubaliana kuitengeneza hiyo ndoa
Mtu ambae ni mwanachama wa hiyo ndoa akiamua kuivunja hakuna namna
Hata mwanachama mmoja akiamua kutumia alivyonavyo kama pesa na mabavu kuirudisha haitasaidia
Kumlazimisha mmoja kati ya wanachama hao kubaki ndoani ni kupoteza muda
Hakuna mwenye uwezo huo wa kumlazimisha mtu yoyote kufanya hilo
Huyo jamaa anataka kujaribu kupanda mlima kilimanjaro kwa baiskeli
Mkewe ameamua kuutumia mwili wake atakavyo,ataweza kumzuia?
Leo atampiga huyo jamaa kesho mkeo atampelekea dawa na chakula kwa kipigo ulichompa tena kwa hela zako mwenyewe
Utafanyaje ukisikia hilo?
Utaenda kuua?
Acheni kupoteza muda kwa mambo yasiyokuwa na msingi
Huwezi kumpangia mtu namna ya kuutumia mwiliwake!
story kama sii ya kweli vile....mke anakubali kutoka na mumewe ndani ya gari vijana watatu??simu yake hakuangalia ??hawakuwasiliana?anyway
mke kashamwambia kwanini alimchet cos jamaa anampa lifti haina haja kujua walifanya mara ngapi kwa maana haitosaidia katika mda huu...kikubwa ajue mkewe kashamegwa
biblia yaruhusu kuachana kwa kosa la uasherati but in other side jamaa ajiulize haya
1...hajawahi kumcheat
2...wakiachana mtoto anahitaji malezi ya wazazi wawili itakuweje
3...je mkewe ndo mara ya kwanza kufanya hayo??
4...je kuna mema ambayo mkewe kamtendea??
all in all hakuna mkamilifu amsamehe mara saba sabin achane karatasi ya talaka aanze maisha mapya japo inauma wacheki na afya
WAFANYE TOBA NA KUMRUDIA MUNGU HASA HUYU MWANAMKE
wewe hujawahi kukutana na papuchi za maana,,kuna papuchi taamu ajabu yaani hata usikie waziri mkuu anazengea mkeo utataka kuenda kupigana...papuchi mnato,taamu,ina joto kama jiko la mkaa la udongo..hapana chezea ww...naongea nikiwa na uhakika kabisaaaaa
utamu wake baba paroko ni utamu ndo unawafanya wakunjane.Hivi kisa cha kwenda kushikana mashati na mtu kwasababu ya papuchi ni nini?
Unaijua hata moja?
ha ha ha ha ! Mi hoi !!!!!! Afu mwambie Mentor nimewamiss !!