Fumanizi

Fumanizi

Sema unataka nini usaidiwe, ila uwe tayari kuamsha popo sio kulia lia kama pimbi yupo kwenye joto.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Endelea kuchunguza unanyoweza lakini asijue kama unamchunguza wala usionyeshe kama unamashaka nae
🙏🙏🙏Nikithibitisha tu napiga chini kesho yake anaingia mwingine mkuu
Mimi mwanaume napamban na kazi ngumu uko sembuse mwanamke ntamdrop ila kuoa siachi naoa mwingine💯💯
 
Sema unataka nini usaidiwe, ila uwe tayari kuamsha popo sio kulia lia kama pimbi yupo kwenye joto.
Kuna umri ukifika hata usikie mwenzio anachepuka " kimoyo moyo unasema shauri yake"

Lakini umri bado,
damu inachemka mtafumaniana sana
KUna vitu vya kumliza mwanaume siyo mahusiano, mwanamke mbona wapi wengi
Kaka kuishi na anayechepuka ni sawa na kukaaa na laana ndani Bora tupigane chini tu
Kila mtu akatafute mwingine
 
Umenikumbusha Imma alikuwa na demu wake tunasoma naye chuo. Yeye mwaka wa 3 demu wa kwanza. Tunampa data zote akafumanie.

Ima anamwambie demu sisi hatupendi mahusiano yao tunampa umbea. Dem anakuja kutuchamba "kama tunamtaka Imma atuazime tako"
🤣🤣 Kumpenda mtu SI lazima uishi naye
 
Kwan namna watu hamfunguki inaonekana yamewakuta mengi sana kwenye hii dunia
 
🙏🙏🙏Nikithibitisha tu napiga chini kesho yake anaingia mwingine mkuu
Mimi mwanaume napamban na kazi ngumu uko sembuse mwanamke ntamdrop ila kuoa siachi naoa mwingine💯💯
Usipende mazima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom