Apan mkuu siwez kujiua kisa mwanamkeUnataka tukujibu, ili uweke mtego , Ufumaniee, alafu UJIUE??.
Ntasemaje kitu nisicho na uhakika nacho, nipo kwenye researchHatukupi code Kwa namna hiyo.
Kama umegongewa sema Tu ili upone mana ukiendelea kuficha ndio utazidi kuumia..Sema hiyo kitu ikutoke.
Head line ni kwamba uwongo haujawahi kuishi.
🤣🤣🤣🤣Tembea na kichupa cha parachute
🤣🤣🤣🙏🙏Sisi tulioenda jandoni kama tulikuwa tumesafiri, kabla ya kurudi nyumbani unatanguliza koti na zawadi nyumbani ili mwanamke ajue umerudi pia kama Kuna mgoni wako asepe usije ukamchinja ukaozea jela.
Ukiwa unamtaka mtu hata mpango wa kumfumania unakuwa hunaUna uwezo wa kumuacha huyo unayetaka kumfumania? Au utabaki kulia
Hahahahaha asije akachanika sio?Tembea na kichupa cha parachute
Kwa nini umfumanie mtu?Ukimuona ana wenge unamuacha mara moja!Wakuu habar za jpil
Nina swali la uzushi apa kwa wanaume.
Ilikuwaje mpaka ukamfumania mke/mpenzi wako(yaani ulitumia mbinu gani) na ulifanya maamuzi gani baada ya kumfumania??
Twende kazi wakuu!
🙏🙏🙏
Umenikumbusha Imma alikuwa na demu wake tunasoma naye chuo. Yeye mwaka wa 3 demu wa kwanza. Tunampa data zote akafumanie.Ukiwa unamtaka mtu hata mpango wa kumfumania unakuwa huna
Endelea kuchunguza unanyoweza lakini asijue kama unamchunguza wala usionyeshe kama unamashaka naeNtasemaje kitu nisicho na uhakika nacho, nipo kwenye research