Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Waswahili hawawezi kuacha uswahili wao
Hii ni kazi muhimu kwao kuliko kusoma, kuchimba madini, kulima au kitu kingine chochote....halafu tunashangaa kwanini tunakuwa maskini wakati kazi yetu ni ngono, kufumaniana na mambo yote yasiyo na tija.