Fumanizi kwa Mwanamke/Mwanaume

Hahahaaaa akitusikia atatumaliza ila alipita hapa nashangaa kapotea ghafla.
Nyani uko wapi?????

oops! Sio nyani, nilitaka kukwambia hamisi kishindindo ndio hasamehi. Samahani nyani kwa usumbufu uliojitokeza.
 
Hivi kwanini mwanaume anapofumaniwa na mkewe au mpenzi wake huomba msamaha na kusamehewa lakini unapomfumania mwanamke na jamaa mwingine hakunaga msamaha? Hapo huwa ndo mwisho wa mapenzi. Kuna nini kinachopelekea haya kutokea katika jamii.
Nani alikwambia?

Kwa taarifa yako men wanasamehe and mara nyingi hawaongei tofauti na akina mama ambao husema publicly kwamba mu man cheated nikamsamehe....

You are either too young or misinformed
 
Wanaume weng hutumia ubabe wakifumania,ila wa'ke wakifumania wanasameh tu wanahuruma.but in general ukifumania wife/husb no msamaha me yanaishiaga hapohapo.
Unajua tatizo wivu na mapenzi haafai ushirikiano kamwe, yan ukijua unaibiwa hata uombwe msamaha najua nitaendelea kuibiwa kwa sirisiri sana so its better kutengana tu
 
Hahahaha BAK wewe ndio unanidai mimi, ngoja nijipange alafu ntakuibukia.

BTT. . . .na wewe ni mmoja wanaosamehe?


Hahahahaha dah!!!! Kumbe mimi ndiye ninastahili kulipwa lol! Haya banaaa nasubiri malipo yangu....Jipange tu wala usiwe na haraka ukiwa tayari basi nitonye tu....Mimi nasemehe sana lakini nina kikomo changu cha kusamehe ambacho huwa sijawahi kukipitiliza. Kama nimewahi kusamehewa sioni ubaya na mimi kusamehe.

 
Hahahahaha dah!!!! Kumbe mimi ndiye ninastahili kulipwa lol! Haya banaaa nasubiri malipo yangu....Jipange tu wala usiwe na haraka ukiwa tayari basi nitonye tu....Mimi nasemehe sana lakini nina kikomo changu cha kusamehe ambacho huwa sijawahi kukipitiliza. Kama nimewahi kusamehewa sioni ubaya na mimi kusamehe.

Hehehe yeahhh!!
Unaona raha kudai ehhh?

Unafanya vizuri kuwa na kiasi, sio mtu unapitiliza mpaka watu wanasingizia umelogwa.
 
Unajua tatizo wivu na mapenzi haafai ushirikiano kamwe, yan ukijua unaibiwa hata uombwe msamaha najua nitaendelea kuibiwa kwa sirisiri sana so its better kutengana tu

Kweli bana no other solution.kwanza ukiwa unakutana na mwizi wako utakuwa una feel aje jo?
 
Hehehe yeahhh!!
Unaona raha kudai ehhh?

Unafanya vizuri kuwa na kiasi, sio mtu unapitiliza mpaka watu wanasingizia umelogwa.

Kudai raha banaa ila kudaiwa karaha hasa kama huna cha kulipa lol! Kabisa Lizzy lazima uwe na kikomo cha kusamehe na kusema sasa BASI, vinginevyo watu hawatakuelewa.

 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom