Full Time: Madagascar 4 - 4 Tanzania | Futsal WAFCON 2025

Full Time: Madagascar 4 - 4 Tanzania | Futsal WAFCON 2025

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,139
Reaction score
88,801
Utangulizi:
Futsal ni Football ila inachezewa kwenye viwanja vidogo kama vya basketball, na havina nyasi vigumu kama basketball.
IMG_1889.jpeg

Sasa kuna mashindano ya Futsal ya Africa, kwa upande wa Wanawake yanayofanyika Morocco kwa huu mwaka.

Kila upande una wachezaji sita, na mpira ni dakika 40, inamaana dk 20 kila kipindi.

Sisi tupo Group C na Senegal na Madagascar
IMG_1890.jpeg


Leo Match Day 2, Madagascar vs Tanzania.

Mechi inaendelea, kipindi cha pili, zimebaki dk 10.

Madagascar 4
Tanzania 4
 
Clara from Tanzania kapiga hattrick
 
Check Live Youtube account ya CAF
 
Huu mchezo haunaga masihara kwenye muda, mpira ukitoka muda una stop hadi mpira uwe ndani.
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Mpira ukitoka pembeni hamna kurusha, mnapiga kama faulo ila unaweka mpira kwenye mstari.
 
Nafurahi kuona mashabiki wa Tz uwanjani wakitusport
 
Sisi sijui mchezo gani tunajua
 
Mechi ijayo tupo na Senegal tuone itakuaje
 
Back
Top Bottom