14 mins mbona mapemaaaAl Ahly kazidiwa aisee tofauti na wengi walivyotaraji. Ngoja tuone pengine mambo yatabadilika.
Al Ahly wasikushitue, ni tabua yao tu, watashinda.Al Ahly kazidiwa aisee tofauti na wengi walivyotaraji. Ngoja tuone pengine mambo yatabadilika.
Tatizo letu timu zetu zipo kinyonge sanaHalafu mbona watanzania tukienda kucheza huko wanatuchezesha mida mibovu?
Halafu mbona watanzania tukienda kucheza huko wanatuchezesha mida mibovu?
Mbona sisi tuna Rais wa vilabu vyote AfrikaTambua Rais wa caf ndie mwenye Mamelodi.
Hivyo anaweka muda ambao unawa favour mamelodi.
Ukitaka timu yako isicheze mida mibovu na wewe kawe rais wa caf
Kama ndo hivyo anza kuhesabu maumivu makombe yote mawili ni ya waarabuKila laheri weusi wenzetu.
Msinifokee kuwa mimi ni mbaguzi wa rangi.
Tayari huko keshagongwa MasandawaneMamelod anashinda mechi hii 🤳