Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
Uuuuwiiii wameuaaaa.... Yaan walibeba magunia na mifuko ya rambo kwenda kuchukua pesa???
Hatariiiii!!!!!
Uuuuwiiii wameuaaaa.... Yaan walibeba magunia na mifuko ya rambo kwenda kuchukua pesa???
Report inayosomwa inaeleza A/c za Viongozi watat akiwamo Cardinal Pengo wamepokea mgawo wa ESCROW na Mkombozi Bank ikihusishwa na ufunguaji wa A/C kwa kuweka ela za ESCROW.
Mbona Zitto anatetemeka sana?
Kafurira aitwe rasmi " kaka wa Taifa!"
Hivi mkombozi bank ni ya watu gani?
Duu hadi viroba!
yani sikualikwa nikaenda na kiroba changu duuu
Nauliza hii nchi ina rais?
Nauliza hii nchi ina rais?
yani sikualikwa nikaenda na kiroba changu duuu
yani sikualikwa nikaenda na kiroba changu duuu
Pengo hajatajwa bwana, ni Nzigirwa na Kilaini!
yani sikualikwa nikaenda na kiroba changu duuu