Salama kama hizi nadhani waachie CCM, inatosha kushukuru wapiga kura, chama na ofisi ya Bunge; Huo ndio ushauri wangu.
Otherwise CDM wamejipanga kuliko hata serikali iliopo madarakani sijui kwanini hawataki kupisha ili hili hii nchni isonge mbele.
Nipo hapa Arusha mjini vijana wamekusanyika kwenye vikundi vikundi wakijadili hotuba ya Mhe. G. Lema aliyoitoa leo bungeni. Wengi wanashauriana kuandaa maandamano kumpokea mbunge wao mara baada ya bunge kumalizika, sababu wanazotoa ni kwamba kaonyesha ujasiri kwa kuiambia serikali bila woga hali halisi ya maisha ya vijana na wananchi kwa ujumla hasa suala la polisi kuwabambikia kesi na mauaji ya raia wasio na hatia. Wanasema hawajashtushwa na Lema kutolewa nje maana wanajua kazi ya kuwasemea waliyomtuma siyo rahisi kama wengine wanavyofikiri. Nauliza ikiwa Chadema Arusha iko tayari kuwaunga mkono vijana hawa, kwangu naona ni suala la heri wanaJF mna mawazo gani.
Umeona eeehhh! I hate this kind of slogan....wengine hushukuru hata vimada wao na walevi wenzao......
Nakupinga kwa hili, shukrani ni uungwana mkubwa sana. Bila mkeo kukupa sapoti na amani katika nyumba, kamwe hutafanya lolote la muhimu.
As for Lema, I salute you guy!
Nakupinga kwa hili, shukrani ni uungwana mkubwa sana. Bila mkeo kukupa sapoti na amani katika nyumba, kamwe hutafanya lolote la muhimu.
As for Lema, I salute you guy!
Nipo hapa Arusha mjini vijana wamekusanyika kwenye vikundi vikundi wakijadili hotuba ya Mhe. G. Lema aliyoitoa leo bungeni. Wengi wanashauriana kuandaa maandamano kumpokea mbunge wao mara baada ya bunge kumalizika, sababu wanazotoa ni kwamba kaonyesha ujasiri kwa kuiambia serikali bila woga hali halisi ya maisha ya vijana na wananchi kwa ujumla hasa suala la polisi kuwabambikia kesi na mauaji ya raia wasio na hatia. Wanasema hawajashtushwa na Lema kutolewa nje maana wanajua kazi ya kuwasemea waliyomtuma siyo rahisi kama wengine wanavyofikiri. Nauliza ikiwa Chadema Arusha iko tayari kuwaunga mkono vijana hawa, kwangu naona ni suala la heri wanaJF mna mawazo gani.
Ni sawa kabisa mkuu,Niliwahi kusema huko nyuma kuwa wabunge wa ccm wanatumia wingi wao bungeni kupambana na CHADEMA wakidhani kuwa CHADEMA ni chama cha siasa tu. Hii ni fikra potofu na naweza kusema CHADEMA ni 'Movement' ya watanzania waliopigika kimaisha chini ya utawala mbovu wa ccm. Na kwa maana hiyo CHADEMA (wananchi wa kawaida) ni wengi kushinda hiyo idadi ya ccm bungeni na mbaya zaidi ni wananchi hao wenye kauli ya mwisho juu ya nani arudi bungeni. CCM wanaweza kutumia kiti cha spika (DODOMA) kuzima hoja za wabunge wa CHADEMA lakini huku mtaanni hawawezi kuzima CHADEMA - Poeple's power. Hii hatari kubwa sana kwa ccm and the sooner they realize this the better.
Nashauri baada ya mkutano wa bunge kuisha Dodoma, CHADEMA ipite kila mahali kuelimisha umma wa Tanzania kile kilichopitishwa kwenye bajeti ya kila Wizara ili wananchi waweze kuwabana wala rushwa kwa karibu zaidi. Chambueni bajeti moja hadi mwisho na mapungufu yake na semeni waziwazi ni wapi hoja nzuri ilikatiliwa ili wapiga kura wajue wawakilishi wa kweli ni wepi na FEKI ni wepi.
Mi nafikiri haina maana ya kujikusanya na kwenda kumpokea.......labda tu kwasbabu hatuna kazi za kufanya.........hayo ni mambo anayotakiwa kuyasema mara kwa mara na kuikosoa serikali na kuwakosowa wenzake pale wanapokosea ................NO BIG DEAL
<br />sioni tija ya yeye kupokelewa kama shujaa wakati vita ndio kwanza inaanza
<br />Mi nafikiri haina maana ya kujikusanya na kwenda kumpokea.......labda tu kwasbabu hatuna kazi za kufanya.........hayo ni mambo anayotakiwa kuyasema mara kwa mara na kuikosoa serikali na kuwakosowa wenzake pale wanapokosea ................NO BIG DEAL