Full Stack Software Engineer job opening at ENGIE Powercorner

Nikuulize bila mtu kwenda shule au chuo hizo skills atazipataje hapa kibongobongo?Maana wengi tumepata skills hizo huko vyuoni,halafu vyuoni kuna asilimia kubwa ya hao curious people pia na hao adaptive to changes
Kama ww umebahatika kupata hizo skills usidhani kila aliepitia chuo kazipata.

Na kama unachosema ni kweli basi wanachuo wasingekua wanalalamika kisa kukosa kazi coz wangeadapt to the change na kutengrneza ajira zao wenyewe.

All in all you are right but am also right. I sign out
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom