FULL MATCH: ISRAEL 4 IRAN 1

Hii Haina tofauti na jambazi linnakuwa kwenye mahusiano na Binti wa watu ambaye ni bikra, Kila siku jambazi anaomba mchezo Binti anamtolea nje mpaka siku jambazi anatega mitego yake vizuri Binti anakuja ghetto anambaka kisha anamuomba msamaha alafu hapo hapo Binti anatamka "ukiomba Tena sikupi"
 
Hivi unajua kama nuclear site hazijaguswa hata kidogo na expert wote wameconfirm ikiwemo cnn ?
HAKUTAKA KUZIGUSA HILA ANGETAKA IRAN KUZIPIGA DAKIKA 2 TU HATA HAO USA KUPGA HZO NUCLEAR SITE ZA IRAN ILIKUA GERESHA TU HAKUOIGA KM ANGEPIGA KWELI MIONZI YAKE INGESAMBAA ENEO KUBWA LAKINI HAKUNA MIONZI ILIYOTOKA
 
Hii mechi Israel mtoa roho ndiyo alikuwa mwenyeji, kwamaana ndiyo alianza. Matokeo ya mchezo ni Israel 1 - Iran 5. Hapo refa wa ndani, washika vibendera, wa VAR wote walikuwa upande wa Israel, ila Iran kaibuka mshindi.

Comment yangu isiguswe.
 
Watu wanasherehekea ushindi uko Teheran wewe ndio kwanza upo na kasumba zako jamiiforums
Mbona mayahudi wameshindwa kusherehekea
 
Watu wanasherehekea ushindi uko Teheran wewe ndio kwanza upo na kasumba zako jamiiforums
Mbona mayahudi wameshindwa kusherehekea
Wanasherekea kuuwawa kwa makamanda wao na wanasayansi wa nyuklia au kubomoa apartment za Tel avivi
 
Hii mechi Israel mtoa roho ndiyo alikuwa mwenyeji, kwamaana ndiyo alianza. Matokeo ya mchezo ni Israel 1 - Iran 5. Hapo refa wa ndani, washika vibendera, wa VAR wote walikuwa upande wa Israel, ila Iran kaibuka mshindi.

Comment yangu isiguswe.
Makamanda wako wanauwawa wewe unabomoa apartment alafu unajiona umeshinda
 
U
17. Kuuwa makamanda wa juu wa Israel
18. Kuuwa wataalamu na wanasayansi wa Nyuklia wa Israel
19.Kuua kiongozi wa Intelligence Mosad na msaidizi wake NDANI ya jengo

Endelea na list kadri unavyojisikia mkuu
JF were dare talk openly bila hata source
 
U

17. Kuuwa makamanda wa juu wa Israel
18. Kuuwa wataalamu na wanasayansi wa Nyuklia wa Israel
19.Kuua kiongozi wa Intelligence Mosad na msaidizi wake NDANI ya jengo

Endelea na list kadri unavyojisikia mkuu
JF were dare talk openly bila hata source
Wewe punguani soma haya maneno ya watu wa Iran, nyie wagalatia ndiyo mnaogopa kufa.

Israel inaweza kuwa imeua baadhi ya wanasayansi wa nyuklia lakini hakuna mabomu yanayoweza kuharibu ujuzi na utaalamu wa Iran.

Unataka sosi gani tomato au chili?
 
Wanasherekea kuuwawa kwa makamanda wao na wanasayansi wa nyuklia au kubomoa apartment za Tel avivi
Sio apartments tu kituo cha technologia cha Israel ambacho kiliasisiwa tokea 1930, (Microsoft) kile kituo kilikuwa No.6 duniani, ndio kituo kilichokuwa na wataalam wa israel na wanasayansi wa hali ya juu cha Israel, ndio sukani ya security ya ulinzi wa Israel Iran walikibakisha vumbi tu
 
Na wewe unaendaga shule za wapi ? Unakujaje na news anazozitoa israel? CNN ambaye ni mmarekani amekuonyesha hadi sattelite pictures kuonyesha hakuna kilichoharibiwa wewe unasikiliza story za abunuwasi za taifa teule,murndage shule
site zimepigwa zikiwa kwenye mahandaki chini, sasa satelite unayoongeleea wewe ni ipo boss?
 
Watu wanasherehekea ushindi uko Teheran wewe ndio kwanza upo na kasumba zako jamiiforums
Mbona mayahudi wameshindwa kusherehekea
tehran walijua wanauliwa wote sasa wamebaki wataachaje kusherekea? kwao huo ni ushindi mkubwa
 
Na wewe unaendaga shule za wapi ? Unakujaje na news anazozitoa israel? CNN ambaye ni mmarekani amekuonyesha hadi sattelite pictures kuonyesha hakuna kilichoharibiwa wewe unasikiliza story za abunuwasi za taifa teule,murndage shule
 
Ok sasa umekubali kumbe vinu havijaathirika maana mashimo yenyewe hayajafikia kinu hii safi
vinu viko chini mita 60 bomu limepenya mita sitini ndo likalipuka wairan wenyewe wamekiri vinu vimeshambuliwa sasa we unataka satelite ya chini ya ardhi?
 
vinu viko chini mita 60 bomu limepenya mita sitini ndo likalipuka wairan wenyewe wamekiri vinu vimeshambuliwa sasa we unataka satelite ya chini ya ardhi?
Hebu bishana na wataalam kwanza
Halafu vinu kushambuliwa haimaanishi havitafanya kazi tena
 

Attachments

  • Screenshot_20250625-075639.png
    1.5 MB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…