Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Katika maisha aibu hazikwepeki,
Enzi hizo nikiwa form two likizo nilienda kumtembelea ndugu, si wakanitandikia kwenye kochi la watu watatu, nikalala kuja kushtuka mida ya saa 11 nimejikojolea chapa chapa. Niliondoka kwa aibu kabla hata wageni hawajaamka. Full aibu.
Haya na wewe tuambie full aibu yako ilikuwaje????
Enzi hizo nikiwa form two likizo nilienda kumtembelea ndugu, si wakanitandikia kwenye kochi la watu watatu, nikalala kuja kushtuka mida ya saa 11 nimejikojolea chapa chapa. Niliondoka kwa aibu kabla hata wageni hawajaamka. Full aibu.
Haya na wewe tuambie full aibu yako ilikuwaje????