Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,151
- 50,217
Mkuu, inaitwa Dynasty, ipo Ununio. Ni kali sana.Hii inaitwaje mkuu
Mkuu, inaitwa Dynasty, ipo Ununio. Ni kali sana.Hii inaitwaje mkuu
Nakubaliana na wewe mahali hapo ni pazuri sana nilikuwa hapo na wife sio haba kwa kweli kuanzia usafi na utulivu wa kutoshaMimi ni mwenyeji sana wa hili jiji la Dar, ukitaka kuenjoy beach safi kuliko zote hapa Dar ni Ununio beach ina maandhari nzuri sana na ni safi pia sio ya kulipia. kutoka ukonga panda gari la makumbusho au mawasiliano ukifika kwenye vituo hivyo nilivyo vitaja kimoja wapo panda gari la ununio one way mpaka Dynasty mwambie konda akushushe, hapo utakuwa ume fika maana uta tembea tu kutoka barabarani ni kama mita 200 kutoka barabarani.
Sawa mkuu hakuna kiingilio?Mkuu, inaitwa Dynasty, ipo Ununio. Ni kali sana. View attachment 2749931
wanawake hawana aibu na uchi waoKama mtumishi beach za dar hazikufai utachuma dhambi dar sio tanga kuogelea na dela huku ni chupi tu.
Duuh..mkuu wali samaki 30k je ukitaka chips kuku bei gani? Au kitimoto kilo kg 1Kuna sehemu kama tano hivi zimepangana. Sehemu ya mwisho ndio inaitwa Dynasty. Hapo ni pa kula, muzik kwa mbaaali, michezo ya kushoot, na ile ya kupigana risas kwa rangi, virtual reality games, etc. Hapa pa kistaarabu. Nilikula wali samaki 30k, ila samaki mkubwa sana. Panafaa kwa familia, au upo na mtoto unaenda mtongoza, anapenda juice juice. Hapana vibe kivile.
Sehemu inayofata inaitwa Xanadu. Hapa pana Lounge na bar. Hapa pana vibe. Nishawahi kuja nikaondoka saa 7 usiku na watu nimewaacha wanawaka. Hapa wazee wa chakaramu.
Sehemu zinazokuja ni Free Gate sijui, Rasta nani sijui.. zote zinajitahidi.
Yaani izi sehemu zote zina share beach moja, sema uku mbele ndio zimepangana. Kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni kama umetoka fremu moja Mliman city ukaenda duka linalofata, ni hapo hapo si mbali.
Ebu jaribu kwenda man, uta enjoy naamini.
Pia kuna beach ya bure nadhani inaitwa Mahaba beach.
Moja ya beach nzuri na kubwa Dar ni hii hapa,
Kawe, Chakaramu sana uswahili hapapo unyama.
Samahani, kiingilio ni shingapi kwa mtu mmojaNakubaliana na wewe mahali hapo ni pazuri sana nilikuwa hapo na wife sio haba kwa kweli kuanzia usafi na utulivu wa kutosha
Kawe beach nishajiokotea sana watoto miaka ya 2016-2010Na kawe beach huko ndo kuna warembo kibao kila ijumaa jmos jpili inajaza watu kibao 😂🤣😂 kqz kwako
mm hadi kesho naenda kila nkipata muda kule warembo n wengi sana huwaga najiokotea na mm 😂😂Kawe beach nishajiokotea sana watoto miaka ya 2016-2010
Duuh..mkuu mbona unafanya kuanzia leo nianze kwenda hukomm hadi kesho naenda kila nkipata muda kule warembo n wengi sana huwaga najiokotea na mm 😂😂
Duuh..mkuu mbona unafanya kuanzia leo nianze kwenda huko