Wana Jf!
Naomba kuuliza hapa kati ya visimbusi vyote na kuwa na dish la free to air kipi bora zaidi?
+-Kuna wengine wanasema ukiwa na fta unaweza pata channel zote mfano za startimes kama B4u,NatGEo n.k
+-Kuna wengine pia wanasema kuwa visimbuzi ni cheap kuliko fta na mengine mengii...
Najua hapa tuna wataalam tofauti tofauti naomba mnisaidie ili sasa nijue kipi ni kipi.
N.B Kauli zisizofaa zitaziruhusu ntazireport kwa Uongozi.
Ahsanteni.
Wana Jf!
Naomba kuuliza hapa kati ya visimbusi vyote na kuwa na dish la free to air kipi bora zaidi?
+-Kuna wengine wanasema ukiwa na fta unaweza pata channel zote mfano za startimes kama B4u,NatGEo n.k
+-Kuna wengine pia wanasema kuwa visimbuzi ni cheap kuliko fta na mengine mengii...
Najua hapa tuna wataalam tofauti tofauti naomba mnisaidie ili sasa nijue kipi ni kipi.
N.B Kauli zisizofaa zitaziruhusu ntazireport kwa Uongozi.
Ahsanteni.
Tafuta dongles au receiver zinaitwa Qsat Q11G hizi zunakula FTA zote na Dstv zikuwemo sasa issue inakuja kama unadish kubwa unafunga lnb hata mbili hizo azamtv,startimes na dstv zote unapata ...vinapatikana hapa bongo
Kaka vinapatikana wapi? kama unajua ntakutafuta kiongozi. Manake kwanini nipate shida ya kulipia kwa mwezi huduma zenyewe poor mara no service mara no signal mara oooohhhh huku kwa wazawa channel zao hazikidhi matakwa yangu.....bora nije huko japo dah kwenye nyumba za kupanga kuweka dishi nayo nooooma....dah nchi hiii....tutafika tu! it is the matter of time.
Sio mtaalam lakini umenifurahisha kwa kutumia neno sahihi 'kisimbuzi' Wataalam wa bakita wametuambia king'amuzi ni sawa na neno la kingereza 'detector'..... 'to decode' ni kusimbua kwa hiyo neno sahihi kwa decoder ndio kisimbuzi. Naomba wandugu sasa tuwache hii neno 'king'amuzi' itulie kwake.Wana Jf!
Naomba kuuliza hapa kati ya visimbusi vyote na kuwa na dish la free to air kipi bora zaidi?
+-Kuna wengine wanasema ukiwa na fta unaweza pata channel zote mfano za startimes kama B4u,NatGEo n.k
+-Kuna wengine pia wanasema kuwa visimbuzi ni cheap kuliko fta na mengine mengii...
Najua hapa tuna wataalam tofauti tofauti naomba mnisaidie ili sasa nijue kipi ni kipi.
N.B Kauli zisizofaa zitaziruhusu ntazireport kwa Uongozi.
Ahsanteni.
Dooh nazitaka hizo mkuu saidia hizo receiver zinapatikana duka gain?
Sio mtaalam lakini umenifurahisha kwa kutumia neno sahihi 'kisimbuzi' Wataalam wa bakita wametuambia king'amuzi ni sawa na neno la kingereza 'detector'..... 'to decode' ni kusimbua kwa hiyo neno sahihi kwa decoder ndio kisimbuzi. Naomba wandugu sasa tuwache hii neno 'king'amuzi' itulie kwake.
Madukani ni vigumu japo nimesikia kuna kkoo pale wanaziuza sijajua duka mm nimefunga juzi tu ni kuwasiliana na mafundi tu ila angalia asikubamize bei
Kama upo interested Pm me ntakutumia namba zake maana siwez ziweka in public hapa bila ruhusa yake
Wakuu sisi wa madongo kuinama lini tutavipata hivyo visimbusi mfano singida!